kama vipi mkuu hukubaliani nayeYes Mohamed Said ana busara sana!
Sema kuna baadhi ya vitu huwa sikubaliani naye!
Lakini ni mtu moja mstaarabu sana!
Ayaaa.....duuuNyani Ngabu ana busara sana
kalumanzila nakusaka aisee! kuna mtu ananizingua.[emoji23] [emoji144] [emoji23] si watanikoma. ..!!!?
Jamaa yuko poa sana sijawahi kumuona anavurugana na mtu kama huyu "U.S.A baby*naunga mkono ila sometime anaboil kdg
kumuona wapi sasa?Cjamuona uncleben
Naaam Mohamed Said ana ustahimilivu sanaYes Mohamed Said ana busara sana!
Sema kuna baadhi ya vitu huwa sikubaliani naye!
Lakini ni mtu moja mstaarabu sana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahaha watu mnataka siku Ngabu aingie ligi na Mshana... Hahaha mimi nitabaki kama mtazamaji hiyo siku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nyodo Faizafoxy, Busara Mshana Jr
ibra87 am humbled but how about my semegi!? Kumbe wewe ni mzee wa neema za Allah [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]