Mwana JF mwenzetu Erythrocyte mbona umepooza sana kwenye mada za uchaguzi wa CHADEMA?

Mwana JF mwenzetu Erythrocyte mbona umepooza sana kwenye mada za uchaguzi wa CHADEMA?

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Jabari zenu wanaJF wenzangu,

Ombi langu kwa mwanaJF mwenzetu hapa jukwaani ndugu Erythrocyte . Mkuu mbona umekuwa kimya sana tofauti na siku za nyuma, tatizo ni nini?

Hebu tuambie kamanda kama kuna mtu amekuzingua hapa JF, au home unapoishi sisi tumkanye ili kukurudishia mood yako ya kuja JF kutuhabarisha habari za Tundu Lisu kama ulivyokuwa unatuhabarisha habari zake miezi iliyopita.

Inashangaza kuona vijana wasiokuwa na taarifa za kutosha za chama wanatujuza habari za Lisu, halaf wewe mkongwe hauonekani ku comment chochote ili tujue kwamba taarifa ni za kweli au za kutunga.

Rudi Mwamba utupe taarifa moto moto kama hizo hapo pichani. Naamini ugomvi wa Mbowe na Lisu haukuhusu, hivyo una uwezo wa kuleta taarifa za Lisu na Mbowe vizuri kama ilivyokuwa kawaida yako.

Naona mara ya mwisho kupost taarifa za Lisu ilikuwa mwezi wa 9 kabla mwamba huyo hajatangaza rasmi kumkabili mwenyekiti wa chama. Sasa hatujui sababu ni nini ya wewe kuacha kuendelea kutupa taarifa za Lisu ambae ni makamu mwenyekiti halali wa Chadema.

Naukumbuka sana ule msemo wako wa "shetani hajawahi kumshinda Mungu". Hivyo katika uchaguzi mkuu huu wa chama, kati ya Lisu na Mbowe tunataka kuona nani ni wa shetani, na nani ni wa Mungu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250101-115655.png
    Screenshot_20250101-115655.png
    391.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250101-115641.png
    Screenshot_20250101-115641.png
    390.6 KB · Views: 2
Utaratibu wangu uko wazi adui wa kwanza ni CCM , wa pili ni Shetani, Usitarajie mimi kushambulia Chadema kwa namna yoyote ile
Ni nani aliekwambia uishambulie Chadema mkuu?
Kingine ni hiki, huwezi kuwa Maarufu hapa JF kwa kunishambulia mimi, na hakuna umaarufu kwa kutumia ID Fake
Ni nani aliekushambulia hapa JF ili tumdhibiti haraka. Lakini kwanza tutataka kujua amekushambuliaje, maana huenda ni wewe ndo haujaelewa alichoandika.
 
Mdude Nyagali ndio Habari ya Kanda ya Nyasa kwa sasa 😄😄
Kwahiyo dada yetu kapuuzwa na wana kanda ya Nyasa kwa sababu ya kumuegemea mwenyekiti.

Hata mimi nlikuwa nashangaa inakuaje kanda yenye wasomi na watu wanaojielewa, inakubali kuburuzwa na kuongozwa na mtu alieishia form 4.
 
Ni nani aliekwambia uishambulie Chadema mkuu?

Ni nani aliekushambulia hapa JF ili tumdhibiti haraka. Lakini kwanza tutataka kujua amekushambuliaje, maana huenda ni wewe ndo haujaelewa alichoandika.
Watu wajinga ndio wanajadili watu, hautaweza kuondoa umasikini ulionao kwa kujadili wengine, Acha kunifuatilia mimi usiyenijua, hutonijua na wala sitakusaidia kuondoa njaa uliyo nayo.

Natoa wito kwa viongozi wa JF kuhakikisha nyuzi kama hii isirudiwe tena kuletwa hapa jf, ni aibu sana kwa jf kukubali jukwaa hili kutumiwa namna hii.

Nimekudharau sana wewe binafsi na naku ignore rasmi kuanzia dk hii
 
Watu wajinga ndio wanajadili watu, hautaweza kuondoa umasikini ulionao kwa kujadili wengine, Acha kunifuatilia mimi usiyenijua, hutonijua na wala sitakusaidia kuondoa njaa uliyo nayo.

Natoa wito kwa viongozi wa JF kuhakikisha nyuzi kama hii isirudiwe tena kuletwa hapa jf, ni aibu sana kwa jf kukubali jukwaa hili kutumiwa namna hii.

Nimekudharau sana wewe binafsi na naku ignore rasmi kuanzia dk hii
Duh kwahiyo wewe ukiandika uzi unaomhusu Samia au Makonda unakuwa haujamjadili mtu? Au mtu ni Erythrocyte peke yake?
 
Huyo chawa wa Sultan ni kama Yerico kule Facebook
Malisa nae yupo kimya anamtaka Lissu ila anamuogopa Sultan
Chadema wakimleta sultan tunahamia CHAUMA Kwa Hashimu Rungwe Mzee wa ubwabwa
 
Huyo chawa wa Sultan ni kama Yerico kule Facebook
Malisa nae yupo kimya anamtaka Lissu ila anamuogopa Sultan
Chadema wakimleta sultan tunahamia CHAUMA Kwa Hashimu Rungwe Mzee wa ubwabwa
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom