Mwana Jf uliyeko moshi njoo Pub alberto tupige vitu

usije ukashanga huyoo mvulana anakula ada.

malindi pametulia.
pia almasi nyeusi pametulia pia. kwa kriss baga pa watoto na wahuni ya njoro.
Acha dharau mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuliko kula ada afadhali niuze nyumba ya urithi.
 
usije ukashanga huyoo mvulana anakula ada.

malindi pametulia.
pia almasi nyeusi pametulia pia. kwa kriss baga pa watoto na wahuni ya njoro.
Ngoja nijikatae aiseeeeee.....
Maana hawachelewagi kututaja eti tumewaponza...[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Acha dharau mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuliko kula ada afadhali niuze nyumba ya urithi.
Ohoooooo......[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Ona sasa umesha jikoki, na wachache tushajua kwamba wewe ni wakusoma...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ngoja nijikatae aiseeeeee.....
Maana hawachelewagi kututaja eti tumewaponza...[emoji13] [emoji13] [emoji13]


teh teh teh baadae kiswahili kingi bro nikope kilo tano kunamchongo nafwatilia.

ukikutana na watu dizaini hiyoo usiwape namba ya simu kula bia mkitoka hapo hamjuani. mambo ya kuitana bro wakat sijazaliwa nae sitakagi.
 
Black diamond wazinguaji kuna kipind nilikua moshi nikaona hakuna haja ya guest nikajitupia humo mpaka kukuche ,ikafika saa9 wa kazima mziki nilijitafuta siku hio[emoji23] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…