Mwana JF wa Mwezi.

sily

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
926
Reaction score
577
Habari wakuu,kichwa cha habari hapo Juu kinajieleza,binafsi namchagua huyu jamaa Joseverest...kwa sababu ya ushapu wake wa kuwa #1 kureply kwa kila uzi unaoanzishwa hapa Jf kwa majukwaa yote...bado natafakari huyu jamaa inakuwaje hadi anakuwa wa kwanza najua hata hapa kwenye uzi wangu atakuwa wa kwanza...salute mkuu.
 
Naona kama watu hamlali kisa jamaa, kila mtu anaanzisha thread juu ya jamaa, jamani mwacheni afanye anavyotaka, JF ni yetu sote na mtu hapangiwi saaa ngapi apost au aache.
 
Ngoja nimshtue [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…