Mwana Mke wa namna hii.!

Zero One Two

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2007
Posts
9,346
Reaction score
3,028
Naitaji mwana mke mwenye muonekano kama katika picha hapo chini .



1. Umri usizidi 29years.

2. Elimu yoyote ile, awe kasoma au hajasoma sawa.

3. Dini yoyote ile.

4. Kabira yoyote ile.

5. Awe na kazi asiwe na kazi sawa.
 
Sehemu ambayo tutakua tukiishi ni Mwanza , Dar na Oymyakon ! Utaratibu mzima wa mimi na yeye hadi tutapo anza kuishi pamoja utachukua miaka miwili.
 
Heheheiyaah!! Kila la heri..!
 
Hahahaaa, Mtoto wa ukweli sanaaaa, kila la heri
 
Naomba upost kwenye blog za kibrazil ila inabidi uwe na uelewa wa lugha ya Kireno pia!!
 
umekosea kidogo, ungesema natafuta mwanamke yeyote yule, mwenye umri wowote ule maana nadhani huna choice ya mtu umtakaye na pia huenda hujui umtafutae unataka awe na sifa zipi
 
So akija utakua unafanya comparison ama?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Sifa, za ki mwili ni kama huyo kwenye picha.
Elimu, Dini na Kabira sio issue katika mahusiano. Umri nimeweka asizidi 29
umekosea kidogo, ungesema natafuta mwanamke yeyote yule, mwenye umri wowote ule maana nadhani huna choice ya mtu umtakaye na pia huenda hujui umtafutae unataka awe na sifa zipi
 
Kireno, German, kiswahili na ki russia ndio lugha ninazo zifahamu, pia naamini hata humu wapo pia.
Naomba upost kwenye blog za kibrazil ila inabidi uwe na uelewa wa lugha ya Kireno pia!!
 
Leah Brown hapana sitofanya comparison yoyote, kikubwa kama unajiona unataka kufanana na huyo wa kwenye picha hapo juu.. Inakua njema page zinaanza kufunguliwa.
So akija utakua unafanya comparison ama?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Leah Brown hapana sitofanya comparison yoyote, kikubwa kama unajiona unataka kufanana na huyo wa kwenye picha hapo juu.. Inakua njema page zinaanza kufunguliwa.

Nimemzidi kidogo so cjakidhi vigezo na masharti..! Hahahaaa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…