Mwana Mke wa namna hii.!

ah ah! Emu weka kapicha kenye mfanano na wewe hapo, am happy kusia upo njema.. mambo mengine ni aje?

Hahahaha, weka yako kwanza, Nahisi ushapokea application kama mia hivi, unitafute ili nikusaidie katika mchujo wa kwanza.
 
Asante! NATA, mvumilivu hura mbivu, mtafutaji wa kweli hua hachoki kutafuta
Utapata shida sana kumpata maana huyo wa pili wamfano huu hadi apatikane, mh! all the best bro!
 
Naitaji mwana mke mwenye muonekano kama katika picha hapo chini .
1. Umri usizidi 29years.2. Elimu yoyote ile, awe kasoma au hajasoma sawa.3. Dini yoyote ile.4. Kabira yoyote ile.5. Awe na kazi asiwe na kazi sawa.
hahahaaaaa....!!!!. mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…