Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
Ni cha serikali?
hapo kwenye mabano itakamilisha malengo yangu ya kuoa mtoto wa kichagga dah
hapo kwenye mabano itakamilisha malengo yangu ya kuoa mtoto wa kichagga dah
hapo kwenye mabano itakamilisha malengo yangu ya kuoa mtoto wa kichagga dah
kama mtu wa kujirusha kuna Sehemu kama Alberto,La Liga na Malindi..
Ckutarajia kama mpigamsuli na majigambo yote yale unaweza kupangwa chuo kama muccobs aisee,fanya mpango uhamie university bana.
Ckutarajia kama mpigamsuli na majigambo yote yale unaweza kupangwa chuo kama muccobs aisee,fanya mpango uhamie university bana.
Dah kwa dharau hujambo? Duh duh duh duh duh.