mwana-tech umejipanga vipi kukabiliana na gharama mpya za data kwa makadirio ya shilingi elf 3 kwa gb 1

mwana-tech umejipanga vipi kukabiliana na gharama mpya za data kwa makadirio ya shilingi elf 3 kwa gb 1

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Leo kuna pendekezo limetolewa bungeni ambalo uwezekano wa kutekelezwa kwake ni mkubwa, pendekezo hili lita athiri sana hasa watu wa tech ambao matumizi yao ua internet ni makubwa.

Aliependekeza Si mwengine bali ni Zungu naibu spika wa bunge letu ambae aliwahi kupendekeza pia kuwe na tozo kwenye miamala na ikatekelezwa.

Leo hii kampa Nape go ahead ya kuongeza mapato ya serikali kupitia internet anayoona kwamba bado serikali haifaidiki.

Si ajabu kwamba gb 1 ikaanza kuuzwa shilingi elf 3,,,,

Je umejipanga vipi ??
 
Kwa ile kauli ya wabunge ,vijana mujiajiri imeota mbawa maana vijana wapo YouTube,Instagram wanatengeneza Ajira Sasa kama bando litakuwa shs 10000 Kwa GB itakuwaje
 
Wanafananisha na nchi nyimginezo ila wanasahau namna shilingi yetu inavyo chechemea nyuma ya dola
Wanasahau nchi hizo zinafamya exportation kubwa sana na hivyo mzunguko/mapato wa noti ni mkubwa ikilinganishwa na huku

Kuna watu wanaamka na kisema eti rates za vifurushi tanzania ni rahisi kuzidi USA
 
Mi nlivyo muelewa kuwa yale makato wanayo pata makampun ya Sim Nape akayatizame maana wao wanakula kingi kuliko Serikali ambayo inamajukum Mengi.
 
Leo kuna pendekezo limetolewa bungeni ambalo uwezekano wa kutekelezwa kwake ni mkubwa, pendekezo hili lita athiri sana hasa watu wa tech ambao matumizi yao ua internet ni makubwa.

Aliependekeza Si mwengine bali ni Zungu naibu spika wa bunge letu ambae aliwahi kupendekeza pia kuwe na tozo kwenye miamala na ikatekelezwa.

Leo hii kampa Nape go ahead ya kuongeza mapato ya serikali kupitia internet anayoona kwamba bado serikali haifaidiki.

Si ajabu kwamba gb 1 ikaanza kuuzwa shilingi elf 3,,,,

Je umejipanga vipi ??
Tuanahamia kwenye fiber tu. Tatizo liko wapi?
 
Mi nlivyo muelewa kuwa yale makato wanayo pata makampun ya Sim Nape akayatizame maana wao wanakula kingi kuliko Serikali ambayo inamajukum Mengi.
Tangu lini anayetoa huduma akala sawa na serikali yani haiwezekani mtoa huduma agawane sawa na serikali au serikali ichukue zaidi yake maana yeye ndiye analipa wafanyakazi, ana repair miundombinu na hata ikitokea hasara ya kwakr
 
Mtoa huduma /mwekezaji hawezi kugawana sawa na serikali, mwekezaji kaweka pesa katengeneza miundombinu, kaajiri wafanyakazi, kuna runing cost, kuna uchakavu vyote hivyo vinamuhusu mwekezaji! Serikali inaenda kuchukua kodi tu! Unataka igawane Sawa na mwekezaji?? Mfano mzuri ni TTCL ni kampuni ya serikali umeona inavyochechemea?!
 
Bullsh*t kabisa.. wao washaridhika na marupurupu.
 
Leo kuna pendekezo limetolewa bungeni ambalo uwezekano wa kutekelezwa kwake ni mkubwa, pendekezo hili lita athiri sana hasa watu wa tech ambao matumizi yao ua internet ni makubwa.

Aliependekeza Si mwengine bali ni Zungu naibu spika wa bunge letu ambae aliwahi kupendekeza pia kuwe na tozo kwenye miamala na ikatekelezwa.

Leo hii kampa Nape go ahead ya kuongeza mapato ya serikali kupitia internet anayoona kwamba bado serikali haifaidiki.

Si ajabu kwamba gb 1 ikaanza kuuzwa shilingi elf 3,,,,

Je umejipanga vipi ??
Saiv ni kuamua tu ununue data au ununue chakula😅
Wenye vpn tunawaangalia
 
Back
Top Bottom