Akhsante mkuu kwa maelezo mazuri.
hakumtoa nguo yake ya ndani kwahiyo akapigapiga nje na kumaliza shida zake hapohapo nje anasema ni kwakuwa ilikuwa dogo hataki.
Alichonieleza naamini ni kweli because he is my best na na mtu wake wa karibu.
bila maswali manake nini? Au hawatozi ghalama?
huyo mtoto ni wenu basi tu unaona uvivu kulea.
Yaani unataka wenzio wanunue mashine za kupimia dna na kumlipa mtenda kazi afu wewe ufanyiwe bure bila 'ghalama'!
Unapenda uslope eeh?