LGE2024 Mwanachama huyu wa CHADEMA afichua mbinu mpya wanayotumia CCM kupora uchaguzi ujao wa serikali za mitaa!

LGE2024 Mwanachama huyu wa CHADEMA afichua mbinu mpya wanayotumia CCM kupora uchaguzi ujao wa serikali za mitaa!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Joto la Uchaguzi wa Serikali za mitaa linazidi kuwa kali na hii ni baada ya mwanachama mmoja wa CHADEMA kufichua mbinu mpya wanayotumia CCM kuiba na kupora uchaguzi.

Kwenye kikao na baadhi ya viongozi wa TAKUKURU, mwananchi huyo amedokeza kuwa CCM tayari imeshaanza kampeni na kwamba kwa sasa inachukua namba za wanafunzi kutoka kwenye shule mbalimbali na kuanza kuwatumia message kuwa wapigie kura CCM kwenye uchaguzi ujao.

Soma pia: Lema wa CHADEMA afichua madudu mazito kwenye zoezi la uandikishwaji wa wananchi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

"Viongozi wa CCM hawa wanaomaliza muda wao wamekuwa wakipita mashuleni katika shule mbalimbali za Sekondari. Sasa imefanywa siri lakini imejulikana baada ya kutaja namba simu, wengi wao hawana namba za simu, hawamiliki simu wamekariri namba za wazazi wao."

"Kwa hiyo wazazi wanapata jumbe mbalimbali za kuombwa kura kupitia watoto wao walioandikishwa mashuleni. Kwa hiyo hizo ni rushwa ambazo tayari tumeziona na zinaendelea huko mitaani."


CCM mbona mpo desperate sana kushinda uchaguzi hadi mnatumia watoto walioko mashuleni? Ni uoga au nini?

 
Huu uchaguzi bora vile vyama vinavyojielewa vya upinzani wasinge shiriki

Ova
 
Na nyie piteni mashuleni.
Hairuhisiwi kisheria kwenda kufanya siasa mashuleni, ila ccm wako juu ya sheria hivyo wanaweza kupita huko mashuleni.
 
Huu uchaguzi bora vile vyama vinavyojielewa vya upinzani wasinge shiriki

Ova
Kabisa, ni upuuzi wa hali ya juu kushiriki uchaguzi ambao watu wanapanga matokeo. Sisi wananchi tunaojitambua hatuwezi kuendelea kushiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi.
 
Kabisa, ni upuuzi wa hali ya juu kushiriki uchaguzi ambao watu wanapanga matokeo. Sisi wananchi tunaojitambua hatuwezi kuendelea kushiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi.
Kinachofuata kwenye huu uchaguzi tunakiona kabisa
Nini kitatokea....

Ova
 
Hao wana CHADEMA kama huyo wakiwa kila sehemu ndani ya nchi hii; hasa huko vitongojini; kazi ya kuwaondoa CCM ...; EEeenHEEeee, ngoja niazime msemo; "ingekuwa nyepesi kama..."

Ngoja nikwambie jambo: katika historia ya nchi hii, tokea uhuru, hakuna hata mara moja ambapo CCM imeweka matumaini yake yote kurudi madarakani kwa kila mbinu chafu iwezekanayo kama hii inayo andaliwa chini ya Samia. Bila hivyo, hakuna matumaini tena kwa Samia kuendelea kuwepo madarakani.
 
Joto la Uchaguzi wa Serikali za mitaa linazidi kuwa kali na hii ni baada ya mwanachama mmoja wa CHADEMA kufichua mbinu mpya wanayotumia CCM kuiba na kupora uchaguzi.

Kwenye kikao na baadhi ya viongozi wa TAKUKURU, mwananchi huyo amedokeza kuwa CCM tayari imeshaanza kampeni na kwamba kwa sasa inachukua namba za wanafunzi kutoka kwenye shule mbalimbali na kuanza kuwatumia message kuwa wapigie kura CCM kwenye uchaguzi ujao.

"Viongozi wa CCM hawa wanaomaliza muda wao wamekuwa wakipita mashuleni katika shule mbalimbali za Sekondari. Sasa imefanywa siri lakini imejulikana baada ya kutaja namba simu, wengi wao hawana namba za simu, hawamiliki simu wamekariri namba za wazazi wao."

"Kwa hiyo wazazi wanapata jumbe mbalimbali za kuombwa kura kupitia watoto wao walioandikishwa mashuleni. Kwa hiyo hizo ni rushwa ambazo tayari tumeziona na zinaendelea huko mitaani."


CCM mbona mpo desperate sana kushinda uchaguzi hadi mnatumia watoto walioko mashuleni? Ni uoga au nini?

Ccm is the dying horse
 
Kabisa, ni upuuzi wa hali ya juu kushiriki uchaguzi ambao watu wanapanga matokeo. Sisi wananchi tunaojitambua hatuwezi kuendelea kushiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi.
Inasikitisha sana.
Tulitegemea chama kinacho onekana kujitambua kuwaongoza wananchi "wanao jitambua" kukataa hayo ya "kupanga matokeo"; lakini na wao naona sijui imekuwaje tena; maana dalili hazionyeshi kuwa wanajitambua!

Bado nasisitiza: kutopiga kura waTanzania wengi kadri iwezekanavyo ni kuwakubali CCM bila ya pingamizi. Hata siku moja hilo sitalikubali.
Ni bora waharibu kura yangu iliyo wakataa, kuliko kuwakubali kwa kuacha kupiga kura.
 
Inasikitisha sana.
Tulitegemea chama kinacho onekana kujitambua kuwaongoza wananchi "wanao jitambua" kukataa hayo ya "kupanga matokeo"; lakini na wao naona sijui imekuwaje tena; maana dalili hazionyeshi kuwa wanajitambua!

Bado nasisitiza: kutopiga kura waTanzania wengi kadri iwezekanavyo ni kuwakubali CCM bila ya pingamizi. Hata siku moja hilo sitalikubali.
Ni bora waharibu kura yangu iliyo wakataa, kuliko kuwakubali kwa kuacha kupiga kura.
Uko sahihi.....ukisusa kwao inakua rahisi
 
Uko sahihi.....ukisusa kwao inakua rahisi
Na wanapenda sana hiyo CCM, kwa sababu watakao kwenda kuwapigia kura hao wachache, ushindi wao utaonyesha asilimia 90 ya wapiga kura ikiwakubali.
Hata kama ni wapiga kura milioni tano wakijitokeza kupiga kura, wao wataangalia tu hiyo asili mia 90 ya waliopiga kura.
 
Hao wana CHADEMA kama huyo wakiwa kila sehemu ndani ya nchi hii; hasa huko vitongojini; kazi ya kuwaondoa CCM ...; EEeenHEEeee, ngoja niazime msemo; "ingekuwa nyepesi kama..."

Ngoja nikwambie jambo: katika historia ya nchi hii, tokea uhuru, hakuna hata mara moja ambapo CCM imeweka matumaini yake yote kurudi madarakani kwa kila mbinu chafu iwezekanayo kama hii inayo andaliwa chini ya Samia. Bila hivyo, hakuna matumaini tena kwa Samia kuendelea kuwepo madarakani.
Wako kila mahali
 
Kupiga kura nchi hii ni kupteza muda
 
Wako kila mahali
Ninge kubaliana na wewe pasipo shaka yoyote kama ningesikia sauti kama hiyo ya Mzee Warioba toka kwa CHADEMA kila kona ya nchi.

Wakti ni huu kuwa eleza wananchi, hayo anayo yasema Warioba, lakini sisikii chochote hadi sasa!

Ni wananchi pekee ndio wanaoweza kuwakomesha CCM, lakini hawapati ushirikiano toka kwenye hivi vyama vinavyo jitambulisha kuwa vya upinzani; kwa bahati mbaya sana, hata CHADEMA ikiwa moja wapo!

Sijui kimetokea kitu gani huko ndani ya chama hiki.
 
Back
Top Bottom