LGE2024 Mwanachama huyu wa CHADEMA afichua mbinu mpya wanayotumia CCM kupora uchaguzi ujao wa serikali za mitaa!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nani anaruhusu kufanya kampeni kabla ya muda wake kufika??
 
Uchaguzi utakavyoendeshwa ya kuwachagua madiwani na wenyiviti serikali za mitaa jinsi mtakavyoona matokeo yanavyoenda na mkashidwa kuzuia wizi wa kura basi mjue na uchaguzi wa rais na wabunge ni hivyo hivyo mtapigwa chini mjifunze mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…