DEFAMATION
Senior Member
- Jun 19, 2017
- 110
- 69
Mkuu, uko attentive to details. I like that...Karibu sana JF, bila shaka huna lengo baya kama ambavyo jina lako linasadiki.
Salute Boss.Mkuu, uko attentive to details. I like that...
Wale wengine wakiingia, mtaani tutapata ugumu wa kupata mambo. Wakija huku wanakuwa wajanja kupitiliza.Mwezi wote huu mnaingia wenzetu tu...
Jamani wale wengine vipi...????
Kwa hiyo bora wasije eeehWale wengine wakiingia, mtaani tutapata ugumu wa kupata mambo. Wakija huku wanakuwa wajanja kupitiliza.
Naam. Wabakie huko huko Instagram.Kwa hiyo bora wasije eeeh
Yap mkuuKaribu sana JF, bila shaka huna lengo baya kama ambavyo jina lako linasadifu.
Usirudie kufananisha JF na Facebook MkuuUlivojiunga facebook, twitter au instagram uliomba ukaribishwe?.[emoji89][emoji89][emoji89]
Ukiingia humu we liunge kmya kmya tuu
Maajabu, nimesoma comments zote sijaona aliyekuuliza jinsi/sex, maana hilo swali huwa ni kawaida sana kwa yeyote anayejiita mgeni hata kama yumo humu kafungua tu ID nyingine
ππππππππ!
!
Mgeni wewe ni ke au me?
Mgeni gani nunda namna hii?Usirudie kufananisha JF na Facebook Mkuu