Pre GE2025 Mwanachama UWT: CCM haina haja ya kujielezea maana imeshatekeleza kila kitu

Pre GE2025 Mwanachama UWT: CCM haina haja ya kujielezea maana imeshatekeleza kila kitu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mwanachama wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Jamila Ally Ashery kutoka wilaya ya Dodoma Mjini amesema CCM ikisherehekea miaka 48 inajivunia rekodi ya kutekeleza Ilani ya uchaguzi kupitia Wizara mbalimbali za Serikali. Ameongeza kuwa, uteuzi wa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa Urais kutaendelea kukiimarisha chama hicho.

Sherehe za maadhimisho ya miaka 48 ya CCM zitafanyika katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma tarehe 05 Febuari 2025; Mgeni Rasmi ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

 
Kwahiyo wewe na wale mashekhe waliogiza majini yote yampe ushindi mama nani ana akili
 
Back
Top Bottom