African billionaire
Member
- Jan 19, 2018
- 7
- 2
Hali imebadilika miaka hii, Wasomi (wanavyuo) wanalalamika ajira kubwa zaidi ni kuwa wanaajiriwa na watu ambao hawasoma elimu ya juu.
Mwanachuo unategemewa na jamii kuanzisha fursa ili uajiri watu.
Mwanachuo wewe ni kioo cha jamii, unategemewa kutoa maamuzi ya busara katika jamii yako katika kutatua changamoto
Mwanachuo usikubali watu wa jamii yako waseme "mhhh wasomi wa siku hizi" ukipita mtaani.
Mwanachuo usiigize maisha, Fanya kazi kwa bidii na kwa akili.tumia kila fursa unayoiona.Usidharau kazi.
Mwanachuo tumia elimu yako, ubunifu wako kutengeneza fursa kwa ambao hawajapata nafasi ya kusoma elimu ya juu (chuo)
Mwanachuo unategemewa na familia yako, jamii yako, Taifa lako kwa ujumla. USIJISAHAU
Mwanachuo unategemewa na jamii kuanzisha fursa ili uajiri watu.
Mwanachuo wewe ni kioo cha jamii, unategemewa kutoa maamuzi ya busara katika jamii yako katika kutatua changamoto
Mwanachuo usikubali watu wa jamii yako waseme "mhhh wasomi wa siku hizi" ukipita mtaani.
Mwanachuo usiigize maisha, Fanya kazi kwa bidii na kwa akili.tumia kila fursa unayoiona.Usidharau kazi.
Mwanachuo tumia elimu yako, ubunifu wako kutengeneza fursa kwa ambao hawajapata nafasi ya kusoma elimu ya juu (chuo)
Mwanachuo unategemewa na familia yako, jamii yako, Taifa lako kwa ujumla. USIJISAHAU