sweetlee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 4,050
- 14,770
Kuelekea Uchaguzi Mkuu October,Siku ya jana tarehe 16/7/2020 Mwana Diplomasia na Mchambuzi wa masuala ya Siasa Goodluck Ng'ingo alichukua fomu na kurudisha ili aweze kupata ridhaa ya kugombea Ubunge Kalenga.
Kufuatia mazungumzo yake mengi na vyombo mbalimbali vya Habari vya ndani na nje ya nchi amekuwa akisisitiza sana viongozi kuwa daraja kati ya wananchi na serikali yao.
Aliwahi kusema "Majukumu ya Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa kiungo kati ya wananchi na Serikali Kuu, kuwa kichocheo kikubwa cha shughuli za maendeleo kwenye Jimbo".
Akiendelea kusisitiza kuwa "Mbunge anatakiwa ahakikishe sheria zinazotungwa zinaakisi uhalisia na mahitaji ya mwananchi, kwahiyo mwananchi kama kuna sheria inambana ajue kwamba kuna Mbunge alishindwa kumwakilisha vyema Bungeni"
Haitoshi tu kusema anajua majukumu ya mbunge, majukumu yake kama kiongozi wa wananchi lakini anatosha kuwa kiongozi hasa wa wana Kalenga.
Kila la kheri kwako Mungu akutangulie.
Kufuatia mazungumzo yake mengi na vyombo mbalimbali vya Habari vya ndani na nje ya nchi amekuwa akisisitiza sana viongozi kuwa daraja kati ya wananchi na serikali yao.
Aliwahi kusema "Majukumu ya Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwa kiungo kati ya wananchi na Serikali Kuu, kuwa kichocheo kikubwa cha shughuli za maendeleo kwenye Jimbo".
Akiendelea kusisitiza kuwa "Mbunge anatakiwa ahakikishe sheria zinazotungwa zinaakisi uhalisia na mahitaji ya mwananchi, kwahiyo mwananchi kama kuna sheria inambana ajue kwamba kuna Mbunge alishindwa kumwakilisha vyema Bungeni"
Haitoshi tu kusema anajua majukumu ya mbunge, majukumu yake kama kiongozi wa wananchi lakini anatosha kuwa kiongozi hasa wa wana Kalenga.
Kila la kheri kwako Mungu akutangulie.