Mwanafa, dully na skendo ya kucopy wimbo...Dully atukana redioni

makuuubwa
 
Haiwahusu pigeni kimya,kuwapa watu promo hamchoki?
 
Jamani eleweni, kukop kitu cha mtu si vibaya na pia inafanyika saana kwenye saana ama ugunduzi flani ni kawaida,acheni ushamba someni na fikirieni.movie,nyimbo,beats,vitabu story na design ama melody ni kawaida hyo.kutunga na kutungiwa pia hakuna lajabu hapo mnawap promo za buree tuu kwa kutokuelewa mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…