Habari zenu wandugu,
Miezi michache iliyopita ziliwahi kusambaa habari kuwa MwanaFA na AY wameshinda kesi mahakamani na kampuni ya Tigo imeamrishwa kuwalipa bilioni kadhaa pesa za kitanzania..Na baada ya hapo akasikika mwanaFA akisema hilo ni fundisho kwa makampuni mengine wanaowanyonya wasanii...
Siku chache baadae nikasikia tigo wamekata rufaa kuwa kiasi wanachotakiwa walipe hakilingani na thamani halisi ya nyimbo za hao majamaa...
Baada ya hapo ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....
Naombeni kujuzwa, hivi hawa jamaa walilipwa ule mpunga?...