Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Tufanyeje sasa?
piga ukunga
huyu sio mzee masako?
Hawa ni maseneta wa majimbo gani hapa marekani?
Kwani mgonjwa wa Sikoseli anaruhusiwa "kugonga menu?"
Kuna jamaa alidai m-Fa hapendezagi.na haka kadem kamekanusha kumgaia jamaa bujibuji.
Mshauri cream nzuri yakutumia awe kama wewe.Mbuzi hana sura nzuri wala ya tabasamu lakini ukimvisha miwani halafu ukampiga picha kama elfu ili upate moja nzuri!hakika utaipata