Mwanafunzi aelezea alivyomsingizia Mwalimu ujauzito

Mwanafunzi aelezea alivyomsingizia Mwalimu ujauzito

Wildlifer

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2021
Posts
1,884
Reaction score
5,235
Hii dunia ina mambo complicated sana. Ila hii michezo ya kusingizia mimba inafanyika sana kwa ushirikiano wa wazazi wa binti na mtia mimba halisi. Wazazi wanakatiwa chao na jamaa, halafu binti anapangwa jinsi ya kusema. Bahati mbaya na Polisi wetu bongo weledi ni tatizo, mtu anakula nyundo 30.

Screenshot_20210516-165553_1.jpg
 
Umasikini mbaya sana ndo maana watu wanatafuta pesa hata kwa ndumba
 
Kusema ukweli sijawahi sikia ishu za wanafunzi katika mataifa makubwa kupewa mimba kama ilivyo huku kwetu yaani

Huku haipiti mwezi haujasikia. wengine mpaka threesome juzi hapa.
Ni kwasababu pia kutoa mimba ni legal
 
Aisee hii ningekuwa ndio huyo mwalimu halafu nikafanikiwa kutoka nawatafutia mabaunsa wahuni wawananihii. Wawafundishe adabu. Familia nzima waliohusika usiku kucha🙉
 
Kusema ukweli sijawahi sikia ishu za wanafunzi katika mataifa makubwa kupewa mimba kama ilivyo huku kwetu yaani

Huku haipiti mwezi haujasikia. wengine mpaka threesome juzi hapa.
Pedoguys wengi sana huko ulaya.

 
Unafikiri wazazi wa binti huyo wangekuwa na pesa yangetokea hayo? Mtoto angesoma boarding school ambapo ana jukumu la kusoma tu na si kujitafutia mahitaji, Mwalimu angekuwa powerful kiuchumi angebambikiwa kesi km iyo?
On the other side, Boarding schools nazo zinashamirisha ushoga siku hizi.
 
Pedoguys wengi sana huko ulaya.

Aiseee, not so sure kama wanatufikia sie. Sina uhakika kabisaaa.
Tukiacha hizi zinazoripotiwa kwenye mamlaka sisi tumezidi

Jamii yetu hii na jamii yao ni tofauti sana
Huku wajinga wengi, siunajua ?
 
Aiseee, not so sure kama wanatufikia sie. Sina uhakika kabisaaa.
Tukiacha hizi zinazoripotiwa kwenye mamlaka sisi tumezidi

Jamii yetu hii na jamii yao ni tofauti sana
Huku wajinga wengi, siunajua ?
Nimejaribu kufanya Quick search, hii ni global problem. Ni aidha inaongezeka au reporting ndio imeongezeka. Nimestuka na Takwimu za Tanzania, ingawa ni za 2009, ila inaonyesha ni tatizo kubwa.

View attachment 1787376View attachment 1787375View attachment 1787378
Screenshot_20210516-174421.jpg
View attachment 1787377
 
Mtoto hata haogopi kusema alikuwa anafanya mapenzi na babu yake, kweli hamna wa kike mdogo kwa mwanaume.
 
Mkuu ni wewe nini?

Maana ID yako inasadifu yaliyomo.
'My next thirty years'

Thirty years (30) ni kifungo cha apewacho mtu aliyepatikana na hatia ya kumtia mwanafunzi mimba ama kufamya mapenzi na mwanafunzi.

My next 30 years, maana yake ni miaka yako 30 ijayo. Yaani miaka 30 ndani ya nondo na ukuta mnene.

Aiseee!.
 
Mkuu ni wewe nini?

Maana ID yako inasadifu yaliyomo.
'My next thirty years'

Thirty years (30) ni kifungo cha apewacho mtu aliyepatikana na hatia ya kumtia mwanafunzi mimba ama kufamya mapenzi na mwanafunzi.

My next 30 years, maana yake ni miaka yako 30 ijayo. Yaani miaka 30 ndani ya nondo na ukuta mnene.

Aiseee!.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenichekesha sana mkuu. Sikutegemea tafsiri hii. Hili ni jina tu ambalo nimeamua liyaumbe makusudio yangu ya kimaisha miaka 30 ijayo!
 
Mimba anapewa na mudi, halafu analea juma, then anasema ni ya hamisi, mwishoe anakuja kuilea ticha
 
Back
Top Bottom