Mwanafunzi afukuzwa shule kwa kumuuliza mwalimu Dagaa wanaitwaje kwa Kimombo

Mwanafunzi afukuzwa shule kwa kumuuliza mwalimu Dagaa wanaitwaje kwa Kimombo

Boniface Evarist

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
1,147
Reaction score
513
Mwanafunzi wa shule ya msingi Kakuyu huko kanda ya ziwa amefukuzwa
shule kwa kumuuliza mwalimu wake wa
Kiingereza ambaye pia ni mwalimu mkuu wa shule hiyo kuwa dagaa kwa Kiingereza anaitwaje? Mwalimu huyo
aliposhindwa
kujibu swali hilo
alihamaki, akamcharaza mtoto huyo
bakora sehemu
mbalimbali za mwili
wake na kumsababishia
maumivu makali mwilini mwake na akahitimisha
kwa kumwandikia barua ya kumfukuza shule kwa madai ya utovu wa nidhamu
na kutumiwa kama kibaraka wa
maadui wa mwalimu huyo.
Habari hii sikuiamini lakini jamaa kaniambia ni kweli tusubili uthibitisho zaidi!

My Take:
jamani elimu yetu
Tanzania ni
wapi inakoelekea?
Je tuna walimu ama tuna maamuma?
 
Ndiyo hivyo mkuu! kama mwalimu ni F4 with division 4 or 0 unategemea kunatofauti kubwa na aliyeishia darasa la saba? Hizo ndo features za walimu wengi wanaotufundishia watoto wetu, wengi hawana uwezo. Wakati tunahitaji graduates wafundishe hadi shule za misingi, lakini hilo ni kama ndoto za kufikiria kulikumbatia jua.
 
Ndiyo hivyo mkuu! kama mwalimu ni F4 with division 4 or 0 unategemea kunatofauti kubwa na aliyeishia darasa la saba? Hizo ndo features za walimu wengi wanaotufundishia watoto wetu, wengi hawana uwezo. Wakati tunahitaji graduates wafundishe hadi shule za misingi, lakini hilo ni kama ndoto za kufikiria kulikumbatia jua.



Hatari sana

 
Hii kitu ilishatoka hapa several months back.

Kwa nini unaiita 'tetesi'? Tetesi kutoka wapi?
 
si angejibu ni small fish huyu ticha kweli kilaza ile mbaya
 
Mwanafunzi wa shule ya msingi Kakuyu huko kanda ya ziwa amefukuzwa
shule kwa kumuuliza mwalimu wake wa
Kiingereza ambaye pia ni mwalimu mkuu wa shule hiyo kuwa dagaa kwa Kiingereza anaitwaje? Mwalimu huyo
aliposhindwa
kujibu swali hilo
alihamaki, akamcharaza mtoto huyo
bakora sehemu
mbalimbali za mwili
wake na kumsababishia
maumivu makali mwilini mwake na akahitimisha
kwa kumwandikia barua ya kumfukuza shule kwa madai ya utovu wa nidhamu
na kutumiwa kama kibaraka wa
maadui wa mwalimu huyo.
Habari hii sikuiamini lakini jamaa kaniambia ni kweli tusubili uthibitisho zaidi!

My Take:
jamani elimu yetu
Tanzania ni
wapi inakoelekea?
Je tuna walimu ama tuna maamuma?

Source???????
 
Mwalimu anatoa 25% then 75% mtoto anajitafutia. Swali lake lilikuwa ndani ya hiyo 75%.
 
Wengi humu ni graduate lakini dagaa kwa kimombo hawajui huu ni ukweli, lugha ya watu hii
 
Mwanafunzi wa shule ya msingi Kakuyu huko kanda ya ziwa amefukuzwa
shule kwa kumuuliza mwalimu wake wa
Kiingereza ambaye pia ni mwalimu mkuu wa shule hiyo kuwa dagaa kwa Kiingereza anaitwaje? Mwalimu huyo
aliposhindwa
kujibu swali hilo
alihamaki, akamcharaza mtoto huyo
bakora sehemu
mbalimbali za mwili
wake na kumsababishia
maumivu makali mwilini mwake na akahitimisha
kwa kumwandikia barua ya kumfukuza shule kwa madai ya utovu wa nidhamu
na kutumiwa kama kibaraka wa
maadui wa mwalimu huyo.
Habari hii sikuiamini lakini jamaa kaniambia ni kweli
tusubili uthibitisho zaidi!

My Take:
jamani elimu yetu
Tanzania ni
wapi inakoelekea?
Je tuna walimu ama tuna maamuma?

tusubili = tusubiri
 
siamini kama mwl alimcharaza kwa jambo kama hilo,pengine muliza swali aliuliza kwa namna tofauti ya kejeli.Pia DICTIONARY zipo mwanafunzi atafute na si kila kitu wakuuliza ni mwl kumbuka alichouliza mwanafunzi ni msamiati.
 
siamini kama mwl alimcharaza kwa jambo kama hilo,pengine muliza swali aliuliza kwa namna tofauti ya kejeli.Pia DICTIONARY zipo mwanafunzi atafute na si kila kitu wakuuliza ni mwl kumbuka alichouliza mwanafunzi ni msamiati.

Lakini wahenga walisema "kuuliza sio ujinga". Na hasa kama anayeuliza ni mwanafunzi akimwuliza mwalimu wake. Inaonekana nuyu ticha alichakachua kazi ya uwalimu na alipoulizwa swali akaona sasa anaumbuka
 
Back
Top Bottom