Mwanafunzi aliye-graduate chuo cha nje ya nchi anakua more potential na kupewa kipaumbele kwenye ajira?

Mwanafunzi aliye-graduate chuo cha nje ya nchi anakua more potential na kupewa kipaumbele kwenye ajira?

Labda kama sio tz...hapa kwetu ukisoma nje unaonekana kama mwiba kupata ajira ni nguma sana...! Labda uwe na refa...! Utaambiwa uverify vyeti sijui nacte...Yani ni usumbufu sana kwakweli harafu kibaya Zaidi elimu yetu Haina thamani nchi za wenzetu😭😭😭😭
 
Watu wanaosomaga Ulaya Huwa wakiludi huku wanakuwa na Kiburi, kingne ni tishio kwa Maboss wa Kampuni/Biashara Husika ndomaan wengi wao huwa Hawapati Nafasi,

Maan unakuta Boss mwenyewe Ni GENTAMYCINE na degree yake ya SAUT ivi unafkiri atakupa Nafasi mtu uliyetoka Na Masters ya Chuo cha India huko.

Kam mtu umejitoa kumsomesha mwanao Nje ya nchi ni kheri ukamtafutia na Connection ya Kazi kabsa Otherwise Utaanza kulaumu Wanandugu kwamba Wamechota unyayo wa Mwanao ili Asipate kazi.
 
Mimi naona hamna tofauti chamsingi uwe na ujuzi mkubwa kwenye fani husika.
Nani aliyekudanganya bwana mdogo?! Endelea kushinda na kukesha kutongoza mishangazi humu, matokeo utayaona... kariakoo wamejaa vijana tele wana Degree na vi-GPA vyao vya ki-gentleman (2.00-2.9)

Tumia muda wako, fuatilia C.E.O's wakubwa na ma-manager wa makampuni makubwa binafsi na ya serikali uone kati ya hao walio wengi na wachache wapi walisoma nje 😊😊😊

Kama unasoma hapa KAZANA NA SHULE, WACHA UJINGAUJINGA NA KUPOTEZA MUDA UPATE PASSMARK NZURI WALAU ITAKUFADHILI KESHO NA KESHOKUTWA NA MATUNDA UTAYAONA. OTHERWISE USUBIRI CONNECTION ZA NDUGU, WAZAZI NA JAMAA WASIO NA ROHO ZA KOROSHO. KAA CHINI JITATHMINI NDUGU HAO WENYE ROHO MWANANA, TULIVU NA NZURI UNAO?! HAKUNA CONNECTION FROM NOWHERE MTU HAKUJUI, OTHERWISE ULIWE KIBOGA! (KWA MTOTO WA KIKE) AU UTOE RUSHWA NA HAPO NI 50/50

Swali kabla hujaswaliwa 😊
 
Nani aliyekudanganya bwana mdogo?! Endelea kushinda na kukesha kutongoza mishangazi humu, matokeo utayaona... kariakoo wamejaa vijana tele wana Degree na vi-GPA vyao vya ki-gentleman (2.00-2.9)

Tumia muda wako, fuatilia C.E.O's wakubwa na ma-manager wa makampuni makubwa binafsi na ya serikali uone kati ya hao walio wengi na wachache wapi walisoma nje 😊😊😊

Kama unasoma hapa KAZANA NA SHULE, WACHA UJINGAUJINGA NA KUPOTEZA MUDA UPATE PASSMARK NZURI WALAU ITAKUFADHILI KESHO NA KESHOKUTWA NA MATUNDA UTAYAONA. OTHERWISE USUBIRI CONNECTION ZA NDUGU, WAZAZI NA JAMAA WASIO NA ROHO ZA KOROSHO. KAA CHINI JITATHMINI NDUGU HAO WENYE ROHO MWANANA, TULIVU NA NZURI UNAO?! HAKUNA CONNECTION FROM NOWHERE MTU HAKUJUI, OTHERWISE ULIWE KIBOGA! (KWA MTOTO WA KIKE) AU UTOE RUSHWA NA HAPO NI 50/50

Swali kabla hujaswaliwa 😊
🤣🤣🤣🤣Eti GPA ya kigentle-man , mbona watu wana G.P.A zaidi ya 3.5 na hawana kazi?
Imagine kazi inataka mtu mmoja na mpo 200.

Kwasasa watu wanabidi wasome course za computer science au software engineering, zaidi ya hapo jiandae kuteseka.
 
🤣🤣🤣🤣Eti GPA ya kigentle-man , mbona watu wana G.P.A zaidi ya 3.5 na hawana kazi?
Imagine kazi inataka mtu mmoja na mpo 200.

Kwasasa watu wanabidi wasome course za computer science au software engineering, zaidi ya hapo jiandae kuteseka.
hapo kwenye GPA soma tena majibu tayari yapo. Na kuna mtu ana 2.00 yupo bandarini, TRA na wizara nyeti. Tunao humu vijana... wanafanya madudu tu!

Ukimpa kazi akiifanya lazima urekebishe wewe mwenyewe tena huyohuyo uliyempa, ukiuliza unaambiwa mpwa wa fulani au mtoto wa fulani... HOHEHAHE naishia kufyata na kuzirudia kazi zangu taratiiiibu nikishushia na chai ya maziwa ya bure ya ofisi. Neng'eneka utoke wewe mwenye Masters na umri ushasogea aje mwenye GPA ya 2.00 aendeleze gurudumu 😊👍🏾
 
hapo kwenye GPA soma tena majibu tayari yapo. Na kuna mtu ana 2.00 yupo bandarini, TRA na wizara nyeti. Tunao humu vijana... wanafanya madudu tu!

Ukimpa kazi akiifanya lazima urekebishe wewe mwenyewe tena huyohuyo uliyempa, ukiuliza unaambiwa mpwa wa fulani au mtoto wa fulani... HOHEHAHE naishia kufyata na kuzirudia kazi zangu taratiiiibu nikishushia na chai ya maziwa ya bure ya ofisi. Neng'eneka utoke wewe mwenye Masters na umri ushasogea aje mwenye GPA ya 2.00 aendeleze gurudumu 😊👍🏾
Hilarious.
Sema sidhani kama G.P.A kubwa inaweza kumpeleka mtu kokote kwa sasa, ni wachache sana wanatoboa bila connection.

Cha msingi mtu afanye anachokipenda.
 
Nani aliyekudanganya bwana mdogo?! Endelea kushinda na kukesha kutongoza mishangazi humu, matokeo utayaona... kariakoo wamejaa vijana tele wana Degree na vi-GPA vyao vya ki-gentleman (2.00-2.9)

Tumia muda wako, fuatilia C.E.O's wakubwa na ma-manager wa makampuni makubwa binafsi na ya serikali uone kati ya hao walio wengi na wachache wapi walisoma nje 😊😊😊

Kama unasoma hapa KAZANA NA SHULE, WACHA UJINGAUJINGA NA KUPOTEZA MUDA UPATE PASSMARK NZURI WALAU ITAKUFADHILI KESHO NA KESHOKUTWA NA MATUNDA UTAYAONA. OTHERWISE USUBIRI CONNECTION ZA NDUGU, WAZAZI NA JAMAA WASIO NA ROHO ZA KOROSHO. KAA CHINI JITATHMINI NDUGU HAO WENYE ROHO MWANANA, TULIVU NA NZURI UNAO?! HAKUNA CONNECTION FROM NOWHERE MTU HAKUJUI, OTHERWISE ULIWE KIBOGA! (KWA MTOTO WA KIKE) AU UTOE RUSHWA NA HAPO NI 50/50

Swali kabla hujaswaliwa 😊
sasa gpa na ujuzi wapi na wapi
 
Nje labda dili ilikua zamani siku hizi ukisoma nje usitegemee kuajiriwa anzisha kitu chako au uwe na connection nzito

Nna washkaj kama watatu mmoja kasoma MD china, mwingine India na mwingine cuba

Since 2019 mpaka leo naongea hawana ajira rasmi, na jamaa wako very bright ila ndo vile tena wanajishikiza shikiza tu wanalipwa pesa ndogo sana
 
Back
Top Bottom