Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
Mwanafunzi huyu alipata sifuri licha ya kwamba majibu yake yote yalikuwa sahihi kwahiyo usilazimishe kila mtu aamini unachokiamini inawezekana yupo sahihi.
SWALI: Mkwawa alikufa katika vita gani?.
JIBU: Katika vita yake ya mwisho.
SWALI: Mkataba wa Geneva ulisainiwa wapi?.
JIBU: Mwisho wa karatasi
SWALI: Nini sababu kuu ya talaka?
JIBU: Ndoa
SWALI: Kitu gani ambacho huwezi kula wakati wa mlo wa asubuhi?
JIBU: Chakula cha mchana na cha usiku
SWALI: Kipi kinachofanana na kipande cha tunda?
JIBU: Kipande cha pili cha tunda hilo.
SWALI: Hitler alikufa vipi?
JIBU: Moyo wake uliposimama baada ya kufika malaika wa kifo.
SWALI: Vita vya pili vya dunia vilimalizika lini
JIBU: askari walipochoka kupigana.
Tusilazimishane uelewa wa mambo🙂😎😎[/b]
SWALI: Mkwawa alikufa katika vita gani?.
JIBU: Katika vita yake ya mwisho.
SWALI: Mkataba wa Geneva ulisainiwa wapi?.
JIBU: Mwisho wa karatasi
SWALI: Nini sababu kuu ya talaka?
JIBU: Ndoa
SWALI: Kitu gani ambacho huwezi kula wakati wa mlo wa asubuhi?
JIBU: Chakula cha mchana na cha usiku
SWALI: Kipi kinachofanana na kipande cha tunda?
JIBU: Kipande cha pili cha tunda hilo.
SWALI: Hitler alikufa vipi?
JIBU: Moyo wake uliposimama baada ya kufika malaika wa kifo.
SWALI: Vita vya pili vya dunia vilimalizika lini
JIBU: askari walipochoka kupigana.
Tusilazimishane uelewa wa mambo🙂😎😎[/b]