EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
Mwanafunzi anayefahamika kwa jina la Joel Mariki (14) anayesoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Bagara iliyopo wilayani Babati mkoani Manyara ambaye alipotea Jumamosi ya Septemba 14, 2024 katika Mlima Kwaraa, amepatikana akiwa hai.
Pia soma: Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya Pandahill Mbeya amepotea
CC: WEPESI TV
Pia soma: Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa kidato cha tano shule ya Pandahill Mbeya amepotea
CC: WEPESI TV