Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Asee kumbe nae,jaguar kashinda.hongera kwakeNampongeza pamoja na jaguar nawatakia kila heri uongozini!
Kashinda starehe!Asee kumbe nae,jaguar kashinda.hongera kwake
Hiyo hiyo baisikeli ndo kijana aliitumia kuwabwaga watu wa helikopta kwahivyo usife moyo budaboss! Hilo ndo funzo kutoka kwa huyo kijana. Hongera kwake mheshimiwa John Mwirigi! Kwa watu wa Meru na Igembe...Turishokia nkatho buru! Muritonyia kamwana vaai, Murunku amatharime bwinthe! Dah hii lugha ya kimeru ni stress!Kenya wametanguria mita 1000 kwa land cruiser sisi tupo nyuma tunawafukuzia kwa baiskeli
_ where ever you are remember me_
Jaquar wa JF?Nampongeza pamoja na jaguar nawatakia kila heri uongozini!