Kule Masaki
Member
- Jul 1, 2012
- 57
- 8
df
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nchi yetu inahitaji ulinzi wa hali ya juu pia vijana wawezeshwe waweze kujiajiri maana ndio hao hao wanavamia watu na kuwapora mali zao
pole yake ila maisha yake ni bora kuliko huko kuandaa thesis. nakumbuka mwaka 2006 nilikuwa nafanya kazi katika mradi mmoja dar kuna mzungu aliibiwa vifaa kwenye gari likatolewa tangazo ofisini kuwa mtu ukikutana nao hawa jamaa waache msibishane nao chochote wanachokitaka waache wachukue. ni vyombo vya dola tu vinatakiwa kubishana nao labda uwe umejihami uwataimu ila wakikutaimu achana nao na chochote wanachochukua unaweza kukipata tena ukiwa haimmmh usiseme hivyo ndg kama unayajua mazingira ya chuo na kuanda thesis si mchezo
tanzania kwa ujumla tuna amani ya mdomoni tuu lakini in reality hakuna amanii nchi imetawaliwa na rushwa na ujanjaujanja tuu inanuka damu za watu wasio na hatiia
hahhahahahah kila kitu chademaaaa duuuh
Ninachoamini mimi ni kua hakuna uchadema wala uccm ktk mambo haya, ila yote yanatokea kwa sababu ya ubinafsi wa magenge ya watu wachache walioko kwenye mfumo wa utawala wa nchi.
Kumbuka kilichompata Ulimboka, Kibanda, na wengineo kisha utapata mwanga japo kidogo nini kilicho nyuma ya pazia.
Haya mambo ya uccm vs uchadema sijui uislam vs ukristo hayatokei kiuhalisia isipokua kuna genge/magenge nyuma ya pazia. Tuamke.
mh sijui Chadema hawa?