wakidhani kuwa kila mmoja anayo haki ya kummiliki."
Naunga mkono hojaWatoto wa kike kuweni waaminifu mnapokuwa kwenye mahusiano.
Watoto wa kiume kuweni waangalifu mnapo date iwapo mna wivu,maana watoto wa kike wengi hawajitambui
Mbona wa kawaida tu kumbe
Sio poa sana kwenda kwenye getto la mwanamke kama sio mke wako wa ndoa....mwanamke ndo aje kwenye maeneo ya kujidai ya mwanaume
Mbona wa kawaida tu kumbe
Mtu akimgusa huyu mrembo wangu huyu ni jambia wala siyo kisu!View attachment 1489177
Huyu hata mwenyewe huwezi miliki zaidi ya picha yake ya matumizi binafsi ππππMtu akimgusa huyu mrembo wangu huyu ni jambia wala siyo kisu!View attachment 1489177
Ni maumivu kwa wazazi, atakaepata nafuu kidogo huko mbeleni ni mzazi wa bint tuShida kwa wazazi tu sasa
Ana mtindi mkubwa [emoji34]Mtu akimgusa huyu mrembo wangu huyu ni jambia wala siyo kisu!View attachment 1489177
Hiyo ilikuwa zamani,,lakini baada hata ya watu wa kawaida wenye makosa ya kawaida kama kukosea kutaja takwimu,nao wananaswa kwa style hiyo,,Huyo aliyekimbia labda aende akaishi maporini maisha yake yote, ila akisema akarenew line ya simu tu, anadakwa papo hapo!
Huyo aliyeuliwa ukute alikua anajiandaa kupost kule kwny uzi wa kula tunda kimasihara[emoji16]