Mwanafunzi Hija Hamis ahukumiwa viboko 12 kwa kumlawiti mwenzake

Mwanafunzi Hija Hamis ahukumiwa viboko 12 kwa kumlawiti mwenzake

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Mwanafunzi ya Kidato cha Tatu, Hija Hamis Msumi (16) ambaye ni mkazi wa Kiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti, mkoa wa kipolisi Rufiji, amehukumiwa adhabu ya kuchapwa viboko 12, kwenye makalio mbele ya Mahakama kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwanafunzi wa darasa la Nne mwenye umri wa miaka 12.

Mahakama imemuamuru mshitakiwa huyo kumlipa muhanga fidia ya Shilingi laki 5, kwa madhara ambayo amemsababishia mwanafunzi huyo ambaye jina lake limehifadhiwa.

Mahakama imesema mshitakiwa huyo alitenda kosa hilo kati ya mwezi Agosti na Novemba, 2023, huko Kiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti.

Source kwa hisani ya:

View: https://www.instagram.com/p/DAa39nCMksF/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==
 
Hapo kama mzazi unaenda unaangalia "A time to kill"Kisha unarudi.
Mtoto kama huyo mtaa mnaamua Moja akibaki jua watoto wote hawako salama mtaani wahame au mzazi wake aweke turubai.
 
Hapo kama mzazi unaenda unaangalia "A time to kill"Kisha unarudi.
Mtoto kama huyo mtaa mnaamua Moja akibaki jua watoto wote hawako salama mtaani wahame au mzazi wake aweke turubai.
Hili picha🔥🔥🔥
 
Shule ninayofundisha kuna dogo hakumsalimia mwalimu
Sahivi hatembei
 
Mwanafunzi ya Kidato cha Tatu, Hija Hamis Msumi (16) ambaye ni mkazi wa Kiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti, mkoa wa kipolisi Rufiji, amehukumiwa adhabu ya kuchapwa viboko 12, kwenye makalio mbele ya Mahakama kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwanafunzi wa darasa la Nne mwenye umri wa miaka 12.

Mahakama imemuamuru mshitakiwa huyo kumlipa muhanga fidia ya Shilingi laki 5, kwa madhara ambayo amemsababishia mwanafunzi huyo ambaye jina lake limehifadhiwa.

Mahakama imesema mshitakiwa huyo alitenda kosa hilo kati ya mwezi Agosti na Novemba, 2023, huko Kiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti.

Source kwa hisani ya:

View: https://www.instagram.com/p/DAa39nCMksF/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==

huyu hajapewa adhabi kabisa, ilibidi mtaa umuhukumu hiyo sheria imekaa vibaya.. mtu anasimamisha mpini halafu achapwe fimbo 12? sio kweli
 
Hii habari mbona haijakaa sawa KIdato cha 3 miaka 16, darasa la nne miaka 12? Au mimi ndio sijaelewa!
 
Huyo aliebakwa na kulawitiwa kwa pamoja ni Ke bila shaka lakini hata mwandishi hajataka kufafanua. Kimsingi hao wanalinganalingana kuna namna tu walishindwana kufikia muafaka.

Na huyu alietendwa anashida inakuaje 14yrs uko std 4? Kuna Ujinga hapa hiyo laki 5 iangaliwe upya Diddy boy anaumizwa bure.
 
Huyo aliebakwa na kulawitiwa kwa pamoja ni Ke bila shaka lakini hata mwandishi hajataka kufafanua. Kimsingi hao wanalinganalingana kuna namna tu walishindwana kufikia muafaka.

Na huyu alietendwa anashida inakuaje 14yrs uko std 4? Kuna Ujinga hapa hiyo laki 5 iangaliwe upya Diddy boy anaumizwa bure.
Life Management
 
Huyo aliebakwa na kulawitiwa kwa pamoja ni Ke bila shaka lakini hata mwandishi hajataka kufafanua. Kimsingi hao wanalinganalingana kuna namna tu walishindwana kufikia muafaka.

Na huyu alietendwa anashida inakuaje 14yrs uko std 4? Kuna Ujinga hapa hiyo laki 5 iangaliwe upya Diddy boy anaumizwa bure.
Miaka hii 12yrs kua darasa la 4 ni ajabu aisee
 
Huyo aliebakwa na kulawitiwa kwa pamoja ni Ke bila shaka lakini hata mwandishi hajataka kufafanua. Kimsingi hao wanalinganalingana kuna namna tu walishindwana kufikia muafaka.

Na huyu alietendwa anashida inakuaje 14yrs uko std 4? Kuna Ujinga hapa hiyo laki 5 iangaliwe upya Diddy boy anaumizwa bure.
Kumbuka ni miaka 12 sio 14.
 
Miaka 12 darasa la 4?
Kwa kawaida mtoto anaingia darasa la kwanza akiwa na miaka 7 ambapo la nne anatakiwa awe na miaka 10 lakin kumbka sio wte wanaoanza la kwanza na miaka 7 wengne nane wengne sita lakini pia KUMBUKA darasa la nne kuna mtihani wa upimaji kitaifa ukifeli unarudia darasa la nne hata miaka mitatu ko hakuna ajabu hapo
 
Back
Top Bottom