matics
Senior Member
- Aug 18, 2019
- 133
- 80
Kuna dogo lilikuwa na cm ya rafiki yake likapigiwa simuna matapeli wa mtandao kuwa katume pesa kwa wakala mwambie kaka ndo kanituma na hyo wakala tunafamiana, nae akatuma kumuomba dogo hela hana, jamaa kamuweka ndan,sasa nauliza hivi kosa hilo tukienda mahakamani anaweza fungwa, wanasheria mnisaidie ela yenyewe ni 200000.