Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,330
kwa hio dogo kaona maisha ni magumu kwake ? Tatizo la wazazi kuwa mbali na watoto
uyo n dem au n dude.
cjajua coz nimekopy ni kapaste km yalivyo wasilishwa na gazeti la habari leo
alighafirika nini hadi akajinyonga? kuna sababu. alale mbele ya shetani peponi