Mwanafunzi mwenye degree feki tumaini university apata admission mzumbe

Joined
Sep 21, 2013
Posts
27
Reaction score
23
Katika hali ya kushangaza kuna mwanafunzi ambaye jina naliifadhi ambaye alifanikiwa kupata degree yake Tumaini University kwa mwaka mmoja amepata admission ya Masters a Degree Mzumbe university Dar campus na ameshaanza masomo
 
Mzumbe nao c ni wababaishaji tu..ndo maana masters zao zinaitwaga maharage ya mbeya.
 
If at all una ushahidi na unalosema, kwa nini usitoe taarifa kwenye vyombo vya usalama?
 
Na ww ni mwongo tu, unatuletea habari za vijiw
 
Hiyo degree kaipataje? isijekua unaongelea genius maana nimeona watu waliosoma degree wakamaliza wakiwa na miaka 12 tu bado watoto kabisa...
 
Katika hali ya kushangaza kuna mwanafunzi ambaye jina naliifadhi ambaye alifanikiwa kupata degree yake Tumaini University kwa mwaka mmoja amepata admission ya Masters a Degree Mzumbe university Dar campus na ameshaanza masomo

Kama kweli nia yako ni kusaidia elimu ya tz weka jina lake ili hatua zinazostahili zichukuliwe kwa mtu husika
 
Katika hali ya kushangaza kuna mwanafunzi ambaye jina naliifadhi ambaye alifanikiwa kupata degree yake Tumaini University kwa mwaka mmoja amepata admission ya Masters a Degree Mzumbe university Dar campus na ameshaanza masomo

Mpaka sasa upo Chini ya ulinzi, na utaisaidia polisi
 
Sasa hapo tatizo lipo wapi Tumaini walikotoa degree fake au Mzumbe walikompa nafasi mwenye degree fake, mzumbe wanaweza kuwa hawajagundua ubovu wa hyo degree.
 
Huu ni urongo wa mchana kweupe, eti kisha anza masomo wakati hata majina ya waliochaguliwa kwa mwaka huu hayajatoka na chuo kwa sasa bado hawajaanza mwaka mpya wa masomo wa 2013/14. Acheni uzushi nyie vilaza!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…