Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) tawi la Mbeya, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na meno manne ya tembo aliyokuwa nayo ndani ya gari.
Mwanafunzi huyo alikiri kwamba mzigo huo siyo wa kwake, bali amepewa kuusafirisha kwenda Kigoma.
Mwanafunzi huyo alikiri kwamba mzigo huo siyo wa kwake, bali amepewa kuusafirisha kwenda Kigoma.