kudath omar
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 173
- 209
Wana bahati hao. Yaani vitabu vyote hivi kwa 50,000 tu ?Mwanafunzi wa advance chukua vitabu hivi kwa bei karibia na bure vikusaidie kipindi hicki cha mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19, kaka yenu nimestaafu kufundisha.
CONCEPTUAL CHEMISTRY CLASS XI(S.CHAND )
CONCEPTUAL CHEMISTRY CLASS XII (S.CHAND)
A-LEVEL CHEMISTRY fouth edition (E.N. Ramsden)
Vyote vipya kabisaaaa kasoro hiyo ramsden yenyewe ni mpya ila imetoka cover page. ila CHAND zote ni mpyaaaaaaaaa.
Utavipata vyote kwa shilingi 50,000/=
Nipo Dodoma, kwa wale walio mbali naweza kukutumia pia: 0656009034/ 0769631860
Wakati Chand yenyewe nakumbuka nilinunua shilingi 60,000 wakati huo. Naona vitabu siku hizi havina bei asee.Wana bahati hao. Yaani vitabu vyote hivi kwa 50,000 tu ?
Chand, 2011 niliinunua 35,000/=Wakati Chand yenyewe nakumbuka nilinunua shilingi 60,000 wakati huo. Naona vitabu siku hizi havina bei asee.
Biological science (BS) nilichukua kwa shilingi 30,000
Just tuaminiane tu..nakutumia bila wasiwasi.Mfano mm nipo klm utatumaje
Kuna namba hapo fanya kama unabp hivi tutawasiliana vizuri tu na utaupata mzigo wako uanze mapindi na hii corona holidayMfano mm nipo klm utatumaje
Hii labda ni bei ya ramsden..ila chands zipo nyingi labda unamaanisha ile ya aron bahl ya organic tupuWakati Chand yenyewe nakumbuka nilinunua shilingi 60,000 wakati huo. Naona vitabu siku hizi havina bei asee.
jamaa walinipiga mkuuHii labda ni bei ya ramsden..ila chands zipo nyingi labda unamaanisha ile ya aron bahl ya organic tupu
Hiyo avater yako inaonesha wewe ni wakupigwa pigwa π π π π π nimetania ucmaindjamaa walinipiga mkuu
hahahha, haina noma mkuuHiyo avater yako inaonesha wewe ni wakupigwa pigwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimetania ucmaind
Hiyo ya organic tupu ninayo nilinunua 43,000/=Hii labda ni bei ya ramsden..ila chands zipo nyingi labda unamaanisha ile ya aron bahl ya organic tupu
Naomba picha ya hiyo cover niioneHiyo ya organic tupu ninayo nilinunua 43,000/=
Naomba picha ya hiyo cover niione
Ahsante.
Broo nilikuweka muda mrefu.... Nilikua natafuta mkwanja vp ulishavitoa???? Nataka nipite navyoMwanafunzi wa advance chukua vitabu hivi kwa bei karibia na bure vikusaidie kipindi hicki cha mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19, kaka yenu nimestaafu kufundisha.
CONCEPTUAL CHEMISTRY CLASS XI(S.CHAND )
CONCEPTUAL CHEMISTRY CLASS XII (S.CHAND)
A-LEVEL CHEMISTRY fouth edition (E.N. Ramsden)
Vyote vipya kabisaaaa kasoro hiyo ramsden yenyewe ni mpya ila imetoka cover page. ila CHAND zote ni mpyaaaaaaaaa.
Utavipata vyote kwa shilingi 50,000/=
Nipo Dodoma, kwa wale walio mbali naweza kukutumia pia: 0656009034/ 0769631860