Mwanafunzi wa chuo aki-disco, mkopo anatakiwa kurejesha?

Blush

Member
Joined
Jan 30, 2015
Posts
39
Reaction score
11
Wadau kuna ndugu yangu alikuwa anasoma chuo, kwa bahati mbaya alidiscore semister ya kwanza. Kutokana na kugazibika hakutoa taarifa bodi ya mikopo kuwa amediscore ili wasitishe mkopo.
Naomba msaada kwa kuwa Hakumaliza chuo na kurazima kutafuta chuo kingine kwa msaada wa fedha za wanandugu. Je akipata kazi atatakiwa kulipa deni Allilokopeshwa na bodi kwa semister 1?
 
Cjawah kusikia mtu anadisco semister ya kwanza,alikua chuo gani kwan huyo kijana?
 
mkopo unaruidsha ule uliosaini tu kama alichukua semester moja atarudisha huo tu
 
na je kama huyo mtu akitaka kwe nda kusoma chuo kingine atapewa mkopo? au kuna mashar ti mengine?
 
Bila shaka itakuwa MZUMBE IYO,SEMESTER YA KWANZA MTU KU Disco pale ni kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…