Kiongozi wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Meru nchini Kenya, Evans Njoroge ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi jana Februari 27,2018 katika maanadamano chuoni hapo wakishinikiza chuo hicho kupunguza ada yao kwa kiasi cha shilingi 8,500 za Kenya ambazo ni sawa na Tsh 188,566 na kuboreshewa miundombinu chuoni hapo.
Mashuhuda wa tukio hilo waliohojiwa na kituo cha runinga cha NTV wamesema kuwa wanafunzi wa chuo hicho baada ya vurugu walikimbia nje ya chuo na kwenda kujificha mashambani baada ya kuona gari la polisi.
Shuhuda mmoja ambaye mwanafunzi huyo ameuawa kwenye shamba lake la viazi vitamu, amesema kuwa maaskari baada ya kuwakosa chuoni walikuja uraiani walipomuuliza kama amewaona wanafunzi hao alikataa kuwajibu, lakini baadaye mtoto wake aliwaelekeza polisi wanafunzi hao walipojificha.
Baada ya dakika mbili mama huyo ambaye jina lake halijatajwa kwa sababu za kiusalama alisema alisikia mlio wa bunduki na alipotoka alimkuta askari anabadilisha mavazi yake na kubakia na nguo za kiraia.
“Niliona wanafunzi wakikimbia nje ya geti la nyumba yangu wengine wakielekea mashambani, muda mfupi baadae nikaona polisi wakiingia getini kwangu wakiniulizia walikojificha sikuwajibu! hadi mtoto wangu alipowaambia, baadaye baada ya kumuona mwanafunzi huyo amejificha kwenye mti alimpiga risasi wakati alipotaka kumkimbia na akabadilisha nguo zake na kurudi kwenye gari,“amesema shuhuda kwenye mahojiano yake na Kituo cha NTV Kenya.
Kwa upande wa mashuhuda wengine wamesema kuwa polisi huyo aliyemuua mwanafunzi anafahamika ni Afisa wa jeshi la polisi la kituo cha Nchiru.
Taarifa kutoka kituo kingine kikubwa cha polisi cha Tigania, kupitia kwa msemaji mkuu wa kituo hicho, Kamanda Adamson Furaha amesema kuwa alisikia kuna maandamano na alituma polisi wa kuzuia maandano hayo.
Kwa upande wa uongozi chuoni hapo umesema kuwa umepata taarifa hizo na mwili wa mwanafunzi umepelekwa Hospitali kwa ajili ya majibu ya kitabibu. Tazama video aliyorekodiwa kabla kuuawa muda mfupi baadaye.
Hata hivyo baada ya tukio hilo wanafunzi waliendelea kushinikiza makamu wa Rais wa chuo hicho, Japheth Magambo kujiuzulu nafasi yake kwani ndiye anayeharibu chuo hicho. Baadhi ya Wakenya wakiwemo viongozi na wanaharakati wamelaani vikali tukio hilo la askari kujichukulia sheria mkononi, wengi wakisema kuwa ni tukio la kinyama.
Tayari jeshi la polisi nchini Kenya linafanya uchunguzi juu ya tukio hilo, na Chuo hicho kilichotakiwa kufunguliwa leo Februari 28, 2018 kupitia mtandao wake kimatangaza kuahirisha hadi Machi 6, 2018.
View attachment 702510
Bongo 5
Tanzania: Send Army to Curb Coast Killings, Opposition Says
Tagged:
tweet
share
Google+
comment
email
more
Related Topics
Photo:
Morgan Mbabazi/The East African
Tanzanian soldiers in training (file photo).
By Athuman Mtulya
Dodoma — The Opposition camp in Parliament yesterday asked the government to deploy the Tanzania People's Defence Forces (TPDF) in three districts of Coast Region to halt the wave of killings.
In his alternative budget speech, the Deputy Shadow Minister for Defence and National Service, Mr Mwita Waitara (Ukonga-Chadema), said the Opposition was concerned by the series of attacks by unknown assailants that have so far resulted into the deaths of 30 people, mostly local government leaders. Police officers have also not been spared either.
Mr Waitara termed the incidents "terror attacks" perpetrated by well-trained individuals, that is why they have so far managed to escape arrest, without their names known or whereabouts exposed.
"There's every indication that police have been tactically beaten by the terrorists. It is for this reason, the Opposition suggests that the TPDF, especially its intelligence unit, should chip in and assist in collecting intelligence and reconnaissance information to expose and take on the killers," reads the Opposition speech.
The latest victim was gunned down on Saturday. The assailants' motives have remained a mystery. The most affected districts are Mkuranga, Kibiti and Rufiji in Coast region.
Police have tightened their guard in the area, but that alone did not stop them from falling prey to the merciless assailants. In April 14 seven police were gunned down. They were returning to camp after a daylong shift. Their camp is 100km from Dar es Salaam and was established in response to activities linked to a shadowy group along the coast that has mounted sporadic attacks on security personnel and local leaders.
The Minister for Home Affairs last week told the parliament as he was tabling his office's budget that the government plans to establish a special police zone in Kibiti to arrest the wave of brutal killings in the area.
Earlier, reading his budget speech in parliament, the Minister for Defence and National Service Dr Hussein Mwinyi said TPDF has continued to work shoulder to shoulder with other security organs to flush out among other things terror elements in the country.
Tanzania: Send Army to Curb Coast Killings - Opposition