poleni sana hili tatizo linaanza kuwa sugu sasa vyuo vikuu unaonaje katika boom tuwe tunawalipia kabisha angalau mlo mmoja kwa siku hasa wa mchana halafu chenji tuwarudishie muendelee kwa wakati wenu.
inauma unapopoteza ndugu kwa chakula bado hatujafikia hapa ndugu zangu.
Msomi wa chuo amefariki kwa nja!!! Je daktari amethibitisha hivyo au ni kulingana na mfumo wa maisha yake?? Tunaomba ufafanuzi zaidi. Mhh...janga la njaa hata chuo kiku!!! Sipendi kuamini. Yote kwa yote, poleni sana ndugu na jamaa.