Mwanafunzi wa darasa la kwanza apata mimba baada ya kubakwa

Mwanafunzi wa darasa la kwanza apata mimba baada ya kubakwa

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Dar24
MARIAM-ID

NYUMBANI
HABARI
BURUDANI
AJIRA
MICHEZO
MAGAZETI
ZAIDI

HABARI
Mwanafunzi darasa la kwanza abakwa, apewa ujauzito
9 hours ago Comments Off on Mwanafunzi darasa la kwanza abakwa, apewa ujauzito
Jeshi la polisi katika Kaunti ya Migori nchini Kenya linamtafuta mtu mmoja kwa kosa la kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa darasa la kwanza wa Shule ya Msingi Awendo.

Hatua hiyo imetokana na ripoti iliyowasilsishwa polisi kuwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 13 ambaye ana tatizo la akili, alibainika kuwa ana ujauzito.

Mwanafunzi huyo alifikishwa hospitali kwa ajili ya kufanyiwa vipimo baada ya bibi yake kumtilia shaka, Jumatano wiki hii.

Kwa mujibu wa taarifa za Polisi, ingawa msichana huyo ameeleza kuwa anaweza kumtambua mtesi wake, hakutoa maelezo ya kina kuhusu mambo yalivyokuwa kabla na baada ya kufanyiwa ubakaji.

Mkuu wa polisi wa Migori, Joseph Nthenge amesema kuwa wanaendelea na msako dhidi ya mtuhumiwa na wanaamini watafanikiwa kumpata.

Kiongozi Mkuu wa eneo hilo, Ezekiel Kokeyo, ameeleza kuwa ingawa madaktari hawakutaja tarehe kamili ya kutungwa kwa ujauzito huo, wameeleza kuwa unaweza kuwa na umri wa mwezi mmoja.

Dar24
 
Dah watu wana roho ngumu sana asee. Yani mtoto huyo na bado anaugonjwa wa akili lakini bado anabaka?

Ingekuwa uwezo wangu marapists wote ningeamuru wabakwe na punda kabla sijawadunga sindano ya tindikali.
 
nyang'au moja imeathiriwa na funza ikatia mimba mwanafunzi wa darasa la kwanza
 
Dah watu wana roho ngumu sana asee. Yani mtoto huyo na bado anaugonjwa wa akili lakini bado anabaka?

Ingekuwa uwezo wangu marapists wote ningeamuru wabakwe na punda kabla sijawadunga sindano ya tindikali.
maisha ni halisi ndugu
 
Dar24
MARIAM-ID

NYUMBANI
HABARI
BURUDANI
AJIRA
MICHEZO
MAGAZETI
ZAIDI

HABARI
Mwanafunzi darasa la kwanza abakwa, apewa ujauzito
9 hours ago Comments Off on Mwanafunzi darasa la kwanza abakwa, apewa ujauzito
Jeshi la polisi katika Kaunti ya Migori nchini Kenya linamtafuta mtu mmoja kwa kosa la kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa darasa la kwanza wa Shule ya Msingi Awendo.

Hatua hiyo imetokana na ripoti iliyowasilsishwa polisi kuwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 13 ambaye ana tatizo la akili, alibainika kuwa ana ujauzito.

Mwanafunzi huyo alifikishwa hospitali kwa ajili ya kufanyiwa vipimo baada ya bibi yake kumtilia shaka, Jumatano wiki hii.

Kwa mujibu wa taarifa za Polisi, ingawa msichana huyo ameeleza kuwa anaweza kumtambua mtesi wake, hakutoa maelezo ya kina kuhusu mambo yalivyokuwa kabla na baada ya kufanyiwa ubakaji.

Mkuu wa polisi wa Migori, Joseph Nthenge amesema kuwa wanaendelea na msako dhidi ya mtuhumiwa na wanaamini watafanikiwa kumpata.

Kiongozi Mkuu wa eneo hilo, Ezekiel Kokeyo, ameeleza kuwa ingawa madaktari hawakutaja tarehe kamili ya kutungwa kwa ujauzito huo, wameeleza kuwa unaweza kuwa na umri wa mwezi mmoja.

Dar24
Abortion ifanywe mara moja. Rape ni unyama na huyu mtoto hastahili kupitia mateso namna hii.
 
Huyu
Abortion ifanywe mara moja. Rape ni unyama na huyu mtoto hastahili kupitia mateso namna hii.
Mtoto atakuwa msaada mkubwa kwa mama yake. Atoe mimba utamsaidia wewe? Utakuwa mtoto waka wewe
 
Back
Top Bottom