Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapatikana wapi?Samahani wadau elimu, nina mtoto anahitaji apate field sehemu yeyote last minute kwenye hata kwa wiki mbili au tati za mwisho kabla hawajatakiwa rejea chuoni.
Nitashukuru kwa ushauri na hata connection.
Duh kupata field imekuwa ngumu Sana mwaka huu, pole Sana mzazi endelea kumpambania cocastic Meneja Wa Makampuni Smart911Samahani wadau elimu, nina mtoto anahitaji apate field sehemu yeyote last minute kwenye hata kwa wiki mbili au tati za mwisho kabla hawajatakiwa rejea chuoni.
Nitashukuru kwa ushauri na hata connection.
Unaweza kuja inbox ukanipa namba yako au ya kwake nikakukonekt sehem.Dar es salaam mkuu