real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Mwanafunzi wa kidato cha kwanza mwenye umri wa miaka 14 ameshatakiwa kwa mauaji ya wanafunzi 9 waliofariki kwenye moto uliounguza shule ya sekondari Moi Septemba 2
Mwanafunzi huyo ameachiwa kwa dhamana ya shilingi za Kenya 200,000 na masharti mengine
Waandishi wa habari walizuiwa kwenye kesi hiyo na hakimu Luka Kimaru akisema haki za mtoto mdogo lazima zilindwe
===============
A Form One student has been charged with nine counts of murder over the deadly fire that claimed nine lives at the Moi Girls School on September 2.
The student has been freed on Sh200,000 cash bail among other conditions pending hearing and determination of the case.
The 14-year-old student appeared before Justice Luka Kimaru who barred the media from covering the proceedings, saying that the minor’s rights must be protected.
The had earlier been remanded for a period of seven days to allow police conclude its investigations.
Mwanafunzi huyo ameachiwa kwa dhamana ya shilingi za Kenya 200,000 na masharti mengine
Waandishi wa habari walizuiwa kwenye kesi hiyo na hakimu Luka Kimaru akisema haki za mtoto mdogo lazima zilindwe
===============
A Form One student has been charged with nine counts of murder over the deadly fire that claimed nine lives at the Moi Girls School on September 2.
The student has been freed on Sh200,000 cash bail among other conditions pending hearing and determination of the case.
The 14-year-old student appeared before Justice Luka Kimaru who barred the media from covering the proceedings, saying that the minor’s rights must be protected.
The had earlier been remanded for a period of seven days to allow police conclude its investigations.