Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Naomba kupata ufafanuzi wa huyu mzee

Je taifa linamtambua kwa chochote??
(Erasto Mpemba)
 
Wale Waliosoma Account Chuo Nashida Na Notes Za International Finance?
 
mimi nauliza shairi la kimapokeo linakuwaje na je vina vya kati na mwixho vinaweza vikafanana? Mfano: tuwe nao ukarimu, amani pendo nidhamu.....? Midhani ipo nane kama kawaida kasoro vina kufanana!
Walimu vp swli alina jibu au??
 
Hizo old format na modern format zikoje kimuonekano mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…