Elections 2010 Mwanahalisi lilitabiri uchakachuaji october 6.

politiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2010
Posts
2,376
Reaction score
1,508
GAZETI LA MWANAHALISI LILITABIRI KILA KITU KINACHOTOKEA HIVI SASA SOMA HAPA CHINI. MWANAHALISI YA OCTOBER 6.2010.

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetwishwa tuhuma nzito za kuandaa mipango ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi mkuu ili kionekane kimeshinda, MwanaHALISI inaweza kuripoti.
Taarifa zilizosambazwa kwa maandishi katika miji ya Dar es Salaam, Arusha, Moshi na Mwanza mwishoni mwa wiki iliyopita, zinadai kuwa CCM imefanikiwa kupenyeza wachakachuaji kura katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Maandishi hayo hayana saini na yamechapishwa kwenye karatasi za ukubwa wa A4.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…