Elections 2010 Mwanahalisi: Makamba amtumia Mahimbo kukamilisha 'mradi' dhidi ya Slaa

sijui tumfanye nini mtu km makamba?................watz mnakubali nchi iendelee kuendeshwa kihuni hivi?..........mimi nasema no......
 
Ngoja niipitie sheria ya ndo ntakuja na majibu,maana kama for 3years hauko nae alafu leo unakurupuka uko uliko khaaa.
Alafu sidhani kama Dr anaweza ingia mkenge kilaini ivyoooo.
CCM naona wameishiwa hoja na ni wazi MOTO wa Slaa unawakosesha usingizi.
Au ikibidi Slaa arudiane na Mkewe wa zamani kama Ben alivyoshauriwa na Nyerere tuone CCM watasemaje?
 
Njaa mbaya sana...Hivi hafikirii athari wanazopata watoto na familia yake huyo cha pombe ? Kweli hakustahiki kuwa mume.
 
mwanaume huwa halii hivi huyu ni wa kiume

hana akili na anatumika tu kama tisssue!

atajibeba mwaka huu
 
makamba kuna siku atakuja kuulipa muda huu ambao watz wanaacha kujadili masuala ya muhimu wanajadili upumbavu wake..............


unajua CCM wamefirisika kimawazo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…