Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Hivi karibuni mwanaharakati wa haki za binadamu na mwanamitandao maarufu nchini Tanzania Godlisten Malissa amefanya mahojiano na kituo cha Jambo na kugusia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.
Katika mahojiano hayo, Malissa amegusia sarakasi za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zinazoendelea nchini pamoja na matukio ya Utekaji yanayoendelea ambapo amezungumzia kwa kina kuhusu sakata hilo.
Soma pia: Kukamatwa kwa Boniface na Malissa: CHADEMA yatoa neno
Aidha Malissa amegusia kuhusu sera ya 4R ya Rais Samia ambapo katika mahojiano hayo na Jambo ameonekana kukosoa sera hiyo ya Samia
Tazama hapo chini
View: https://www.youtube.com/watch?v=lQR3PGitjnE
Hivi karibuni mwanaharakati wa haki za binadamu na mwanamitandao maarufu nchini Tanzania Godlisten Malissa amefanya mahojiano na kituo cha Jambo na kugusia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.
Katika mahojiano hayo, Malissa amegusia sarakasi za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zinazoendelea nchini pamoja na matukio ya Utekaji yanayoendelea ambapo amezungumzia kwa kina kuhusu sakata hilo.
Soma pia: Kukamatwa kwa Boniface na Malissa: CHADEMA yatoa neno
Aidha Malissa amegusia kuhusu sera ya 4R ya Rais Samia ambapo katika mahojiano hayo na Jambo ameonekana kukosoa sera hiyo ya Samia
Tazama hapo chini
View: https://www.youtube.com/watch?v=lQR3PGitjnE