mangenjile
Member
- Nov 5, 2015
- 54
- 4
Kajifunze kwanza kuandika, pia ujue jukwaa gani linafaa kupost mada yakokwakweli mimi naiunga mkono serikili hii kuhusu madawa ya kurevya mana imekuwa shinda kwa vinjana mimi najiuliza tunazaa watoto wa alina gani mana kila mtoto akikua anajiinginza kwenye madawa ya kurevya kwahiyo yanahalibu sana taifa la vinjana kwakweli inapaswa tulitokomeze hili tatizo