Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Aliyekuwa mwanajeshi wa SAS amewaasa raia wa kawaida wa Uingereza wakae nyumbani na watazame kwa umakini movies za 'Call of Duty' badala ya kusafiri kwenda Ukraine kupigana na majeshi ya Russia.
Phil Campion, mwenye miaka 53, alihudumu jeshini toka mwaka 1997, na akashiriki mapigano ktk kikosi cha SAS huko Northern Ireland, the Balkans, and West Africa.
Onyo lake hilo limefuatia ombi la maafisa wa Ukraine la kuwataka watu toka nchi nyinginezo Duniani kwenda Ukraine wakajiunge na vita dhidi ya majeshi ya Russia. Mjeda huyo amesema kabla ya kuamua kwenda, hakikisha wajua vema kwa nini wataka kwenda huko, tambua sababu za msingi za wewe binafsi kwenda huko. Jichunguze mwenyewe una ujuzi gani muhimu utakaofaa huko wataka kuupeleka kwenye mapambano, kama huna ujuzi wowote wa kufaa huko vitani basi utakuwa huna faida yoyote.
Mjeshi huyo mstaafu akaongezea kuwa kama wadhani kuwa faida yako ni kwenda tu na kubebeshwa bunduki basi fahamu hutakuwa na faida yoyote bali waweza kusababisha matatizo zaidi kwa wapiganaji wa ardhini wa upande wa Ukraine. Kama wewe ni mtu wa kawaida tu, huna ujuzi wowote muhimu wa kupeleka huko, hujawahibeba bunduki kabla, huna uzoefu wowote na jambo la vita, tafuta zako Playstation nzuuri na uangalie zako movies za Call of Duty.
Akaendelea kufafanua kuwa kwa kawaida huhitajika miezi sita hadi saba kumfunda mwanajeshi ili mwanajeshi huyo apelekwe kwenye viwanja vya mapigano vitani.
Usidhani tu kuwa waweza acha kazi yako unayoifanya sasa, ukaenda kubeba tu bunduki na ghafla ukawa Audie Murphy, hutoweza kuwa huyo unayemfikiria, na kuna uwezekano mkubwa utishia kufa vitani.
Pichani: Phil Campion akiwa kwenye majukumu yake ya kikazi
=======
March 6, 2022
Phil Campion, 53, has served in the army since 1997, having passed SAS selection to face combat in Northern Ireland, the Balkans, and West Africa.
After calls from Ukrainian officials for foreigners to join the fight, Campion told the Daily Star: “Make sure you know why you want to go, identify the key reasons why you want to go to Ukraine.
“Identify your skill sets and what you think you can take over there because if you can’t take any skill sets over there, you’re useless.”
He added that thinking “you’re another body that can hold a rifle” is false, and you could create more problems for Ukrainian fighters on the ground.
If u’re an average person that doesn’t bring any skills to the party, you’ve never held a rifle before, you’ve got no experience whatsoever, get yourself a decent Playstation and get yourself Call of Duty.”
While Campion understands that those with ties to Ukraine may want to fight, those without connections or combat experience should refrain from signing up.
“Don’t just think you can walk out of the job you are doing now, get handed a rifle and all of a sudden you’re going to be Audie Murphy, because you’re not… you’re probably going to be dead.
“The other thing is, when you go over to these places, you won’t get used on the front lines.
“If you think you’ll be over there swinging through windows, kicking doors in and being the underwater knife fighter, you’re not.
“You’re probably going to find yourself driving columns, guarding some facility. You’re not going to be doing the crème de la crème jobs, especially if you’ve got no skills in the bag.”
Campion, who has family over in Ukraine, said even he is apprehensive.
“At the moment I see my position on this as best advising people not to go, rather than leading by example and sending myself over there,” he said.
missthinkup.com
Phil Campion, mwenye miaka 53, alihudumu jeshini toka mwaka 1997, na akashiriki mapigano ktk kikosi cha SAS huko Northern Ireland, the Balkans, and West Africa.
Onyo lake hilo limefuatia ombi la maafisa wa Ukraine la kuwataka watu toka nchi nyinginezo Duniani kwenda Ukraine wakajiunge na vita dhidi ya majeshi ya Russia. Mjeda huyo amesema kabla ya kuamua kwenda, hakikisha wajua vema kwa nini wataka kwenda huko, tambua sababu za msingi za wewe binafsi kwenda huko. Jichunguze mwenyewe una ujuzi gani muhimu utakaofaa huko wataka kuupeleka kwenye mapambano, kama huna ujuzi wowote wa kufaa huko vitani basi utakuwa huna faida yoyote.
Mjeshi huyo mstaafu akaongezea kuwa kama wadhani kuwa faida yako ni kwenda tu na kubebeshwa bunduki basi fahamu hutakuwa na faida yoyote bali waweza kusababisha matatizo zaidi kwa wapiganaji wa ardhini wa upande wa Ukraine. Kama wewe ni mtu wa kawaida tu, huna ujuzi wowote muhimu wa kupeleka huko, hujawahibeba bunduki kabla, huna uzoefu wowote na jambo la vita, tafuta zako Playstation nzuuri na uangalie zako movies za Call of Duty.
Akaendelea kufafanua kuwa kwa kawaida huhitajika miezi sita hadi saba kumfunda mwanajeshi ili mwanajeshi huyo apelekwe kwenye viwanja vya mapigano vitani.
Usidhani tu kuwa waweza acha kazi yako unayoifanya sasa, ukaenda kubeba tu bunduki na ghafla ukawa Audie Murphy, hutoweza kuwa huyo unayemfikiria, na kuna uwezekano mkubwa utishia kufa vitani.
Pichani: Phil Campion akiwa kwenye majukumu yake ya kikazi
=======
March 6, 2022
SAS soldier tells Brits 'Don't Go To Ukraine - Stay Home And Play Call Of Duty'
'You’re not going to be doing the crème de la crème jobs'
A former SAS operative has warned non-veteran Brits to “stay at home and play Call of Duty” instead of journeying to Ukraine to fight the Russian invasion.Phil Campion, 53, has served in the army since 1997, having passed SAS selection to face combat in Northern Ireland, the Balkans, and West Africa.
After calls from Ukrainian officials for foreigners to join the fight, Campion told the Daily Star: “Make sure you know why you want to go, identify the key reasons why you want to go to Ukraine.
“Identify your skill sets and what you think you can take over there because if you can’t take any skill sets over there, you’re useless.”
He added that thinking “you’re another body that can hold a rifle” is false, and you could create more problems for Ukrainian fighters on the ground.
If u’re an average person that doesn’t bring any skills to the party, you’ve never held a rifle before, you’ve got no experience whatsoever, get yourself a decent Playstation and get yourself Call of Duty.”
While Campion understands that those with ties to Ukraine may want to fight, those without connections or combat experience should refrain from signing up.
He explained: “It takes six-seven months to train a soldier and put them out on a battlefield.
“Don’t just think you can walk out of the job you are doing now, get handed a rifle and all of a sudden you’re going to be Audie Murphy, because you’re not… you’re probably going to be dead.
“The other thing is, when you go over to these places, you won’t get used on the front lines.
“If you think you’ll be over there swinging through windows, kicking doors in and being the underwater knife fighter, you’re not.
“You’re probably going to find yourself driving columns, guarding some facility. You’re not going to be doing the crème de la crème jobs, especially if you’ve got no skills in the bag.”
Campion, who has family over in Ukraine, said even he is apprehensive.
“At the moment I see my position on this as best advising people not to go, rather than leading by example and sending myself over there,” he said.
SAS soldier tells Brits 'Don't Go To Ukraine - Stay Home And Play Call Of Duty' - missthinkup.com
A former SAS operative has warned non-veteran Brits to “stay at home and play Call of Duty” instead of journeying to Ukraine to fight the Russian invasion.
missthinkup.com