Mwanajeshi Waisrail Ajiua Kwakujipiga Risasi Saa24 Vaada ya Kurejea Kutoka Kwenye Vita Vya Gaza

Mwanajeshi Waisrail Ajiua Kwakujipiga Risasi Saa24 Vaada ya Kurejea Kutoka Kwenye Vita Vya Gaza

Jeshi Bora zaid lishindwe kuokoa mateka mpk leo ?jeshi Bora liombe silaha na support
Tofautisha Wanajeshi na Magaidi

Magaidi ni watu waoga sana ndio maana hawatangazi vita rasmi na hawajitokezi hadharani badala yake wanajificha na kulipua kwa kustukiza kisha wanapotea

Wangekuwa wanaume kweli basi watangaze vita rasmi na kuingia katika uwanja wa vita
 
Israel haina chochote zaidi ya kupaisha F 16 kupiga maghorofa kitu ambacho hata sisi na zile Mig zetu za mwaka 47 tunaweza.
Jeshi la Israel lipo weak, wachambuzi wote wa masuala ya kijeshi wanadhihirisha hilo, watu wana billion dollar weapons wanakuja kupelekeshwa na migambo ambao wakiwa watano wanapokezana AK 47 moja.

Ilipaswa waingie mtaa kwa mtaa kuwatafuta hao Hamas, wenyewe si jeshi bora? wana Intel, wana commandos na kizuri zaidi Gaza imezungukwa na Israel, wangeingia Gaza kale kaeneo ni ukubwa wa wilaya ndogo tu, ni kama Tanzania nzima inaelemewa na migambo wanakaa wilaya ya Temeke, yani JWTZ na ndege zote, vifaru, bulldozers, air defense system na kila aina ya silaha ya gharama.

Achilia mbali mmekali excuse ya wanajificha kwa raia, Hezbollah akarusha drone imeingia Israel 30 km ndani kabisa imepiga picha ya maeneo yote ya kimkakati, base za jeshi, sehemu za silaha n.k, imekuwa aibu na hakuna mtu kaamini hadi wengine wakasema ni photoshop.

USA ameionya Israel isijaribu kuingia vitani na Hezbollah kwani iron dome haitowasaidia, US imewaambia mifumo ya ulinzi itazidiwa.
Haupo kwenye league ya uchambuzi zaidi umejaa ujinga tu kama hao unaowaita wachambuzi...

Israel inapigana vita kwa Akili.. Dunia nzima inatizama and Hamas they know exactly what are they doing ni kudamage image ya Israel.. Israel knows well so they are falling in the trapped ili kuzuia more terrorist to rise up.Let Hamas wawatoe kafara raia wao kwa kupigania chini ya madera yao and Propaganda za Muslim zimeenea kila kona even wewe upo kwenye huo mnaso wa Muslims. Lie lie lie as if wao ndio victims

Tambua kwanza Ugaidi unapingwa Dunia nzima even Tanzania tuna majeshi Msumbiji dhidi ya Magaidi ambayo ni same na Hamas na Islamic jihad, ila kule kusini Muslim hawana watu wa Propaganda kama Aljazeera n.k Dunia imewitness unyama wa iblis in the name of Allah.

Israel inapambana na truth dhidi ya mwovu Shetan muongo.. Hamas and vyombo vya habari vya kiislam vimajaa uongo for sure ni evil. So let IDF iwatandike tu na nyie ni ruksa kuongea uongo wowote huku mkila kichapo...

And hakuna Jeshi lenye roho nzuri kama IDF na halitatokea Jeshi kama hilo Duniani
 
Back
Top Bottom