Ntaluke.N.
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,340
- 552
Hahahahaaa wewe jamaa hatari sana,nimemiss post zako mkuu.hahahahhaa..ushahidi upo tena wa video,nitautoa wakati muafaka na nchi itatikisika
shida iko wap kwani? ndie anaenivutie ww ulitakaje?Mh.siyo bure. Atakuwa Maalim mwenzako.
Oh asante mkuu.Sion mtu akisema lizabon, simiyu let wa la lemutuz
Hahahaha
Kwangu n yericko nyerere, mshana kwa picha na uchawi wake, nifah kma the great girl in jf mchangiaj sanatena demu,na emperor _____
Haa haaaDuh...mimi mbona hamjanutaja!! Au ndiyo nipo kwenye wale 'na wengineo wengi!'
Sheikh usiwe na mchecheto ninadumisha muungano tu.shida iko wap kwani? ndie anaenivutie ww ulitakaje?