Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Atakuja kusoma uzi wakoKama sijakosea ID yake , ila Huyu Bidada sijui alibadili ID, Sijui ilikuaje!..Mara ya mwisho kuona ID yake ni 2017
Kipindi najiunga JF niliwahi mshobokea PM, ni Mdada Mzuri, wa Umbo na Sura , Mpole pole with sweet language , Nahisi wa Kishua hivi .
Wee Bidada kama upo Hai tusalimiane !!
Shunie Nahisi alikua best yako !!.
Be humble
Love People
Invest in People!!
Kwamba Mashangazi na Mabazazi wanacheza na muda 🤣Umri sanjari na soko la jf la sasa inabidi wakati mwingine kubadili ID.Mashangazi na mabazazi wengi wamepumizisha ID zao za zamani
Natumaini hivo piaAtakuja kusoma uzi wako
Atakuepo humu humu anafukuza mwizi kimya kimya mimi jf nilikua napitia tu thread kitambo bila id
Aisee hao ni kama Alliens wa Jf.Wanaelewa namna ya kuzichanga karataKwamba Mashangazi na Mabazazi wanacheza na muda 🤣
🤣 Tuishi tu ,ndio life letu hiliAisee hao ni kama Alliens wa Jf.Wanaelewa namna ya kuzichanga karata
Kwa mbali na wewe ulikuwa unaunyemelea ubazazi wa Jf,sijui ulifanikiwa?😂😂😂🤣 Tuishi tu ,ndio life letu hili
Walinipiga vya mbavu, nikaona isiwe shida🤣Kwa mbali na wewe ulikuwa unaunyemelea ubazazi wa Jf,sijui ulifanikiwa?😂😂😂
But why mashangazii[emoji3526][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Umri sanjari na soko la jf la sasa inabidi wakati mwingine kubadili ID.Mashangazi na mabazazi wengi wamepumizisha ID zao za zamani
Mashangazi tumekukosea nini lakini [emoji23]Umri sanjari na soko la jf la sasa inabidi wakati mwingine kubadili ID.Mashangazi na mabazazi wengi wamepumizisha ID zao za zamani
Nokia upoooUsikute ni marehemu tayari
Inawezekana ,Kwa Tanzania hamna kisichowezekanaUsikute ni marehemu tayari
But why mashangazii[emoji3526][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
MamboMashangazi tumekukosea nini lakini [emoji23]