USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Mshana jr - huyu ndio yule mganga Mkuu wa farao kabisa biblia haikumuacha mbali uganga wake wa mchongo ulimtokea puani mbele ya fimbo ya Mussa.
Bujibuji Nyanaume - huyu kwa kupenda papuchi ni kama mfalme Sulemani yeye ishu za kugegeda lazima atie maguu humu
Pasco mayalla - Kwa maslahi mapana ya taifa ni yule mzee alikuwa anazunguka kumshitaki YESU kila anapoenda hadi alihakikisha anapigwa hukumu kali kwa maslahi ya dola ya Rumi.
Tindo - huyu ni Tomaso mbishi kila uzi anataka picha ,yeye uzi kama hakuna picha hakubaliani.
Ell - Huyu jamaa kwenye biblia kama Yuda kwenye pesa yupo ilimladi tu pesa ipo.
Miss natafuta - Huyu ni mama msamalia uliyekuwa anataka kumdanganya yesu kuwa hapigwi kimasiala akaumbuliwa akapewa maji kama Kawa
Lucas mwashambwa - akaiberehere kama wale mamajusi watabili nyota kushabikia vitu ambavyo hana manufaa navyo
Ongeza list maana maisha tunayoishi sio mageni ni yaleyale tu
USSR
Bujibuji Nyanaume - huyu kwa kupenda papuchi ni kama mfalme Sulemani yeye ishu za kugegeda lazima atie maguu humu
Pasco mayalla - Kwa maslahi mapana ya taifa ni yule mzee alikuwa anazunguka kumshitaki YESU kila anapoenda hadi alihakikisha anapigwa hukumu kali kwa maslahi ya dola ya Rumi.
Tindo - huyu ni Tomaso mbishi kila uzi anataka picha ,yeye uzi kama hakuna picha hakubaliani.
Ell - Huyu jamaa kwenye biblia kama Yuda kwenye pesa yupo ilimladi tu pesa ipo.
Miss natafuta - Huyu ni mama msamalia uliyekuwa anataka kumdanganya yesu kuwa hapigwi kimasiala akaumbuliwa akapewa maji kama Kawa
Lucas mwashambwa - akaiberehere kama wale mamajusi watabili nyota kushabikia vitu ambavyo hana manufaa navyo
Ongeza list maana maisha tunayoishi sio mageni ni yaleyale tu
USSR