TANZIA MwanaJF mwenzetu Ramaa Tech afariki dunia kwa ajali ya pikipiki

Exactrly kweli unamfaham. Last week alikua kwenye project zake Iringa. Serious bro. Huwez amini ila ndio ivyo anategemewa huzikwa leo saa nne asbh nyumbani Kwao Kilwa.
[emoji24][emoji24][emoji24] Hakika tunatembea na kifo. Jamaa alikua hana makuu na mtu. Pumzika kwa amani rama.
 
RIP, vp mkuu alikuwa yeye ndio dereva au alikuwa kama abiria embu weka ufafanuzi kidogo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana kwa wanafamilia wa JF, ndugu na jamaa. Alale vyema RT
 
R.i.p kamanda,.najiuliza hv leo hii nikifa mimi nitatangazwa kweli? Au ili nije nitangazwe nifanyeje?
Kama kuna mtu una connection nae au mnafahamiana (mtu wa watu) ni rahisi kutangazwa ila kama unaishi yale maisha ya man alone. Hapo sidhan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…