Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #141
Tena mimi nimefanya research, ukijichumbua hata kama ni usoni tuu, hata ... ya kule inabadilika, kunakuwa hakuna kitu!.KWELI WAKINA DADA WANGEJUA MIKOROGO INAVYOWAHARIBU WANGEACHANA NAYO KABISA!!
Tena mimi nimefanya research, ukijichumbua hata kama ni usoni tuu, hata ... ya kule inabadilika, kunakuwa hakuna kitu!.
P
Its true, ni kweli si unajua sisi wengine tulivyo dhaifu, namzimikia sana tangu zamani enzi hizo akiwa upande fulani. Hilo la kujaribu bahati now it's too little too late, kama nilishindwa kujaribu bahati yangu, enzi zile alipokuwa cha wote, leo sio cha wote tena, sio mama huruma tena kama zamani, siku hizi yuko chini ya milki ambayo mimi sistahili hata kufunga tuu gidamu ya kiatu chake, huo uthubutu wa kujaribu bahati nitaupatia wapi?, labda kama sijipendi.Mkuu, asante sana kwa angalizo hili la kutojichubua. Vipi lakini umemzimikia sana huyu mwanajf mwenzetu? Funguka tu mkuu, huwezi jua. Inaweza ikawa bahati yako.
Pamoja sana mkuu, although it was just a joke....Its true, ni kweli si unajua sisi wengine tulivyo dhaifu, namzimikia sana tangu zamani enzi hizo akiwa upande fulani. Hilo la kujaribu bahati now it's too little too late, kama nilishindwa kujaribu bahati yangu, enzi zile alipokuwa cha wote, leo sio cha wote tena, sio mama huruma tena kama zamani, siku hizi yuko chini ya milki ambayo mimi sistahili hata kufunga tuu gidamu ya kiatu chake, huo uthubutu wa kujaribu bahati nitaupatia wapi?, labda kama sijipendi.
P
Leo nimemuona tena huyu mwana jf, Naibu Waziri akijibu maswali bungeni, wanajeni huyu mdada ana rangi yake nzuri natural, lakini nilipomuona leo, sura inampauka kutokana na kutumia mkorogo!, mtu una rangi nzuri, mngaavu, unatumia mkorogo wa nini?. Nyinyi wanawake, mama zetu, wake zetu, wapenzi wetu, dada zetu na watoto wetu, rangi zenu natural ni mzuri, mnatumia mikorogo ya nini?. Angalie sura ya naibu waziri inavyompauka kwa mkorogo!. Why?.
P
Tena mimi nimefanya research, ukijichumbua hata kama ni usoni tuu, hata ... ya kule inabadilika, kunakuwa hakuna kitu!.
P
Wana Jf,
Kwanza hii ni Friday night, hivyo mara moja moja let's socialize and take it easy with threads za light touch.
Declaration of Interest
Naomba kuanza hii thread kwa kukiri kuwa "the most powerful person on earth is a woman!", hata Adam, aliyefinywagwa na Mungu mwenyewe, akaambiwa na Mungu mwenyewe, "hiki usifanye", "usile tunda la mti wa katikati" "ukila utakufa!", lakini Adamu alipokuja kushawishiwa na mwanamke Eva, tule!, Adam alikula, na wote wakaangamia!. Hakuna any man strong enough anayeweza kushinda "the strength of a woman".
Hata mtu aliyeelezwa kuwa na nguvu kuliko binadamu wote aliitwa Samson, Nate na miguvu take yote was nothing mbele ya mwanamke mrembo Delilah, hivyo na mimi naomba kukiri kuwa, hata mimi, mbele ya wanawake, niko very weak, hivyo leo nimejikuta nalazimishwa kuangalia Wasafi TV, live ikonyesha birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu, ikitangazwa live kutoka Mlimani City, na nimelazimishwa kuangalia by non other than a woman!, kiukweli wanawake wana power na command!.
Hivyo katika kufuatilia sherehe hiyo, ndipo nikamuona mwana jf mwenzetu, ambaye ni Naibu Waziri akitinga kwenye red carpet, na kiukweli ametokelezea kwa kupendezea na gauni lake la rangi ya Chanikiwiti.
Jee kuna ubaya wowote, kumsifia mwana jf mwenzetu, ukimuona mahali ametokea na ametokelezea?.
Macho yameona, nimeamua kukiri amependezea!, hongera mwana jf mwenzetu na hilo gauni lako la Chanikiwiti.
Naomba msiniulize ni nani na wala msiulizie picha, wewe jua tuu ni mwana jf mwenzetu ambaye ni naibu waziri, amehudhuria hafla birthday ya mnyange mlimbwende Wema Sepetu, huku amevalia gaining lake la rangi ya Chanikiwiti, amependeza, ametokelezea.
Nawatakia Furahi Dei njema.
P.
Duh...!, hata kama ingekuwa kweli, sasa ndio umeharibu!, umemharibia kwa kuitoa nje hii siri, hivyo umemponza na jina lake sasa limeondolewa, hateuliwi tena yeye, sasa atateuliwa mtu mwingine tuu ila ni mwanamke!.Habari wadau wa JF.
Mnakumbuka msiba wa DC Mtwara aliyefariki wiki iliyopita? Nauliza hivi kwa sababu Watanzania ni wepesi wa kusahau aidha kutokana na pilika za maisha au matukio kuwa mengi.
Inasemekana Rais Magufuli amemshirikisha Mama Samia kumtafuta mwanamke ktk tasnia ya bongo muvi au bongo flavour ili achukue nafasi ya DC Mtwara ambayo ipo wazi. Inadaiwa nafasi hiyo ilikuwa zitangazwe ktk uteuzi wa Jana wa waziri wa sheria na katiba wakati moja.
Inadaiwa pendekezo hilo la Mama Samia lilimfikia Magufuli jioni saa 12 Jana na haikujulikana kwanini Rais hakuambatanisha uteuzi wake wa Mwigulu na Mwanabongo Muvi Wema Sepetu. Hata hivyo ushauri huo wa Mama samia au Mama wa Busara unadaiwa kuridhiwa na Rais.
Stay tuned muda wowote kitu kitarushwa hewani.