Mwanajf, Naibu Waziri, Ahudhuria Birthday Wema Sepetu, Mlimani City, Avalia Gauni la Rangi ya Chanikiwiti, Apendeza!, Atokelezea!

Wanabodi, kufuatia hii rangi ya Chaniliwiti kupendezea, leo sare hii ya rangi ya Chanikiwiti,
Ndio sare rasmi ya maadhimisho ya uhuru


P
 
Leo nimemuona tena huyu mwana jf, Naibu Waziri akijibu maswali bungeni, wanajeni huyu mdada ana rangi yake nzuri natural, lakini nilipomuona leo, sura inampauka kutokana na kutumia mkorogo!, mtu una rangi nzuri, mngaavu, unatumia mkorogo wa nini?. Nyinyi wanawake, mama zetu, wake zetu, wapenzi wetu, dada zetu na watoto wetu, rangi zenu natural ni mzuri, mnatumia mikorogo ya nini?. Angalie sura ya naibu waziri inavyompauka kwa mkorogo!. Why?.
P
 
KWELI WAKINA DADA WANGEJUA MIKOROGO INAVYOWAHARIBU WANGEACHANA NAYO KABISA!!
Tena mimi nimefanya research, ukijichumbua hata kama ni usoni tuu, hata ... ya kule inabadilika, kunakuwa hakuna kitu!.
P
 
Tena mimi nimefanya research, ukijichumbua hata kama ni usoni tuu, hata ... ya kule inabadilika, kunakuwa hakuna kitu!.
P

Mkuu, asante sana kwa angalizo hili la kutojichubua. Vipi lakini umemzimikia sana huyu mwanajf mwenzetu? Funguka tu mkuu, huwezi jua. Inaweza ikawa bahati yako.
 
Mkuu, asante sana kwa angalizo hili la kutojichubua. Vipi lakini umemzimikia sana huyu mwanajf mwenzetu? Funguka tu mkuu, huwezi jua. Inaweza ikawa bahati yako.
Its true, ni kweli si unajua sisi wengine tulivyo dhaifu, namzimikia sana tangu zamani enzi hizo akiwa upande fulani. Hilo la kujaribu bahati now it's too little too late, kama nilishindwa kujaribu bahati yangu, enzi zile alipokuwa cha wote, leo sio cha wote tena, sio mama huruma tena kama zamani, siku hizi yuko chini ya milki ambayo mimi sistahili hata kufunga tuu gidamu ya kiatu chake, huo uthubutu wa kujaribu bahati nitaupatia wapi?, labda kama sijipendi.
P
 
Pamoja sana mkuu, although it was just a joke....
 
Duh

Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh...!, hata kama ingekuwa kweli, sasa ndio umeharibu!, umemharibia kwa kuitoa nje hii siri, hivyo umemponza na jina lake sasa limeondolewa, hateuliwi tena yeye, sasa atateuliwa mtu mwingine tuu ila ni mwanamke!.
P
 
birthday! kipindi hiki cha korona ......social distancing ilikuwepo.........anaza ARIDHIO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…